Hivi ni nini hasa malengo ya ACT - Tanzania?

Hivi ni nini hasa malengo ya ACT - Tanzania?

Majuto Ngozi

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2013
Posts
211
Reaction score
50
Nilikuwa Nikifuatilia Mwenendo Wa Kisiasa Wa Chama Kipya Cha Act - Tanzania Lakini Bado Sielewi Malengo Hasa Ya Chama Hicho, Kwa Kawaida Chama Cha Chochote Cha Siasa Duniani Kote Ni Kutaka Kushika Dola, Kwa Maana Hiyo Vyama Vyote Ambavyo Vipo Nje Ya Serikali Vinapambana Na Chama Kilicho Madarakani Ili Wananchi Wakikatae Katika Chaguzi Za Kidemokrasi Na Wachague Chama Mbadala Kuonoza Nchi, Kinachonichanga Kwa Act Naona Kwamba Kinajitahidi Kuvishambulia Vya Vingine Vya Upinzani Kana Kwamba Ndivyo Vinavyoshika Dola, Je Act Ndio Sera Yao Kupambana Na Wapinzani Wenzao Ili Kishike Dola? Kama Hivyo Ndivyo Naogopa Kuwa Wananchi Wakielewa Kuwa Act Kinaisaidia Ccm Watakipuuza Mapema Na Kufanya Upinzani Kutoaminika, Naomba Wahusika Wa Act Waniweke Wazi Kuwa Lengo Lao Ni Nini, Kwani Hata Hao Viongozi Wa Act Wataonekana Ni Mamluki Na Watajivunjia Heshima Zao.
 
ACT likiwa tawi la CCM, lengo ni kupambana na vyama vya upinzani hasa chadema
 
Soma katiba yao utawaelewa ACT hatutumiki ila tumekuja kuitoa ccm madarakani nakutoa upinzani wakweli sio huu uliopo sasa
 
ZZK katika mada zake hapo awali, alisema hivi wakati wa uchaguzi vya vipya huanzishwa kwa malengo ya kugawa kura, AMELITIMIZA HILO na malengo ya ACT ni kugawanya kura za upinzani, maana yake kazi kubwa ya ACT ni kusafisha njia ya CCM.
 
ZZK katika mada zake hapo awali, alisema hivi wakati wa uchaguzi vya vipya huanzishwa kwa malengo ya kugawa kura, AMELITIMIZA HILO na malengo ya ACT ni kugawanya kura za upinzani, maana yake kazi kubwa ya ACT ni kusafisha njia ya CCM.

ACT sijui Tanzania sijui Wazalendo lengo lake ni kugawana kura za wapinzani kitu kitakachoisaidia CCM, wale wote wapenda mageuzi hawanabudi kuikataa ACT!
 
Cdm wanatapatapa kwa nguvu ya mzalendo Zitto....mtu mmemfukuza wenyewe sasa kinawawasha washa nini akienda apendapo?!

#Zitto
 
Cdm wanatapatapa kwa nguvu ya mzalendo Zitto....mtu mmemfukuza wenyewe sasa kinawawasha washa nini akienda apendapo?!

#Zitto
Aisee, we kweli mzaramo watu wanaongelea lengo la ACT wewe unaongelea habari za Zitto kufukuzwa, vipi kigodoro wapi leo ??????
 
Cdm wanatapatapa kwa nguvu ya mzalendo Zitto....mtu mmemfukuza wenyewe sasa kinawawasha washa nini akienda apendapo?!

#Zitto
mzaramo
Naomba kujua kwa dhati uzalendo wa ZZK ni upi, naomba kufahamu, kwa sababu mtu hawi mzalendo kwa kutamka neno "mzalendo" mdomoni!
 
Last edited by a moderator:
Nilikuwa Nikifuatilia Mwenendo Wa Kisiasa Wa Chama Kipya Cha Act - Tanzania Lakini Bado Sielewi Malengo Hasa Ya Chama Hicho, Kwa Kawaida Chama Cha Chochote Cha Siasa Duniani Kote Ni Kutaka Kushika Dola, Kwa Maana Hiyo Vyama Vyote Ambavyo Vipo Nje Ya Serikali Vinapambana Na Chama Kilicho Madarakani Ili Wananchi Wakikatae Katika Chaguzi Za Kidemokrasi Na Wachague Chama Mbadala Kuonoza Nchi, Kinachonichanga Kwa Act Naona Kwamba Kinajitahidi Kuvishambulia Vya Vingine Vya Upinzani Kana Kwamba Ndivyo Vinavyoshika Dola, Je Act Ndio Sera Yao Kupambana Na Wapinzani Wenzao Ili Kishike Dola? Kama Hivyo Ndivyo Naogopa Kuwa Wananchi Wakielewa Kuwa Act Kinaisaidia Ccm Watakipuuza Mapema Na Kufanya Upinzani Kutoaminika, Naomba Wahusika Wa Act Waniweke Wazi Kuwa Lengo Lao Ni Nini, Kwani Hata Hao Viongozi Wa Act Wataonekana Ni Mamluki Na Watajivunjia Heshima Zao.

Kama hujui kirefu halisi cha ACT ni Acha Ccm Tule,hivyo lengo lake kubwa ni kuibomoa Chadema ili ccm iendelee kula.
 
Usipate tabu na ACT, lengo ni moja tu kukamata dola kwa njia ya kidemokrasia badala vurugu na maandamano baada ya kuwakomboa wazalendo.
 
Soma katiba yao utawaelewa ACT hatutumiki ila tumekuja kuitoa ccm madarakani nakutoa upinzani wakweli sio huu uliopo sasa

Jamani nyie ATC sijui ACT.......nani kawaroga?Kwa hako ka chama kenu ka kizito ndo mnaota kuwa chama tawala?Labda.....lini?But kabla hata joagoo halijawika mtakuwa mmeshasambaratika.Coun't on my words.
 
Nilikuwa Nikifuatilia Mwenendo Wa Kisiasa Wa Chama Kipya Cha Act - Tanzania Lakini Bado Sielewi Malengo Hasa Ya Chama Hicho, Kwa Kawaida Chama Cha Chochote Cha Siasa Duniani Kote Ni Kutaka Kushika Dola, Kwa Maana Hiyo Vyama Vyote Ambavyo Vipo Nje Ya Serikali Vinapambana Na Chama Kilicho Madarakani Ili Wananchi Wakikatae Katika Chaguzi Za Kidemokrasi Na Wachague Chama Mbadala Kuonoza Nchi, Kinachonichanga Kwa Act Naona Kwamba Kinajitahidi Kuvishambulia Vya Vingine Vya Upinzani Kana Kwamba Ndivyo Vinavyoshika Dola, Je Act Ndio Sera Yao Kupambana Na Wapinzani Wenzao Ili Kishike Dola? Kama Hivyo Ndivyo Naogopa Kuwa Wananchi Wakielewa Kuwa Act Kinaisaidia Ccm Watakipuuza Mapema Na Kufanya Upinzani Kutoaminika, Naomba Wahusika Wa Act Waniweke Wazi Kuwa Lengo Lao Ni Nini, Kwani Hata Hao Viongozi Wa Act Wataonekana Ni Mamluki Na Watajivunjia Heshima Zao.

Lengo kuu la ACT -Tanzania walijigeuza Wazalendo ni kupambana na CHADEMA. ndio maana wanavuna wanachama toka CHADEMA, lakini bahati mbaya wanavuna makapi.
 
thread haina uhai mrefu, itaaunganishwa tu.
 
Back
Top Bottom