S Solomon David JF-Expert Member Mar 1, 2009 1,148 16 Nov 23, 2010 Thread starter #2 Hapa nakuangalia wewe Mheshimwa mwenyekiti wa ccm (sio raisi wa Tanzania) Jakaya Kikwete
Kigogo JF-Expert Member Dec 14, 2007 20,508 6,146 Nov 23, 2010 #3 huyu ni mwizi kama wezi wa simu pale kwa Ali Maua..ni mwizi tu hana tofauti huyo na wezi wengine
S Solomon David JF-Expert Member Mar 1, 2009 1,148 16 Nov 23, 2010 Thread starter #4 Kwa hiyo, kuanzia leo, nitamuita mwenyekiti wa ccm kwa jina lake stahili --- Mwizi
S Solomon David JF-Expert Member Mar 1, 2009 1,148 16 Dec 30, 2010 Thread starter #5 Wakati mabilioni yakiporwa kwa kisingizio cha umeme, Vasco Da Gama ameanza safari za kutembelea makaburi ..... baada ya miaka mitano, Tanzania itakuwa kama Zimbabwe - noti za milioni 10.
Wakati mabilioni yakiporwa kwa kisingizio cha umeme, Vasco Da Gama ameanza safari za kutembelea makaburi ..... baada ya miaka mitano, Tanzania itakuwa kama Zimbabwe - noti za milioni 10.
T Topical JF-Expert Member Dec 3, 2010 5,173 935 Dec 30, 2010 #6 Uwizi unahitaji kithibiti? Kama ni kilio cha slaa, alikuwa anajitahidi kuwa mwanasiasa hadi sasa kashindwa kuthibitisha analia kama wewe
Uwizi unahitaji kithibiti? Kama ni kilio cha slaa, alikuwa anajitahidi kuwa mwanasiasa hadi sasa kashindwa kuthibitisha analia kama wewe