GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Nalia sana na Watu walio karibu na Mheshimiwa Rais kwani kuna nchi zingine hapa duniani ukisikia kuwa leo Rais wao anaonekana katika Vyombo vya Habari au anazungumza na Umma ( Wananchi ) wake basi jua ya kwamba kuna Kitu Kizito au Jambo zito linakuja.
Sidhani kama ni sahihi na inaleta Tija kwa Mheshimiwa Rais kila mara au kila Siku tu kusikika au kuonekana hovyo wakati Watendaji wake wa chini wanaweza wakawa wanatekeleza hayo mambo mengine. Hofu yangu tu ni kwamba kuna Siku wa Kuzungumza nao atawakosa na huenda hao Wasaidizi wake sasa wakampangia Kukutana kama Kikao na Makahaba wote wa nchini au hata na Wapiga Punyeto wote ili kuweza Kuwatatulia matatizo yao.
Hebu rudisheni Hadhi ya Taasisi ya Urais tafadhali.
Tujadili.
Sidhani kama ni sahihi na inaleta Tija kwa Mheshimiwa Rais kila mara au kila Siku tu kusikika au kuonekana hovyo wakati Watendaji wake wa chini wanaweza wakawa wanatekeleza hayo mambo mengine. Hofu yangu tu ni kwamba kuna Siku wa Kuzungumza nao atawakosa na huenda hao Wasaidizi wake sasa wakampangia Kukutana kama Kikao na Makahaba wote wa nchini au hata na Wapiga Punyeto wote ili kuweza Kuwatatulia matatizo yao.
Hebu rudisheni Hadhi ya Taasisi ya Urais tafadhali.
Tujadili.