AMKA NA HII: Najua kuna kakitu wanawake wanaambiana “Ukitaka kujua kama anakupenda wewe muombe pesa kwanza kama akikupa basi yuko siriasi na wewe!”
Hapana, haipo hivyo, hata wale wanaojiuza nao wanaomba pesa na wanapewa tena nyingi tu kuliko hata walioolewa lakini hakuna upendo. Unawapoteza wanaume wengi sana kwa kutaka wahangaike na matatizo yako, si majukumu yao!
Wanakuacha kwakuwa wanakuona Mmdangaji! Wakati mwingine hata mwanaume hakuachi, lakini umemuomba pesa, kakuambia sina ila kwakua shoga yako alishakwambia kuwa kama mwanaume hakupi pesa basi hakupendi unamuamini, unamkasirikia na kumuacha.
Mwisho wa siku unakuta kila mwanaume unaachana naye kwani ni ngumu sana mwanaume kuanza kutatua matatizo yako wakati ndiyo mwanzo wa mahusiano. Utaacha wengi na utaachwa na wengi, kwakuwa nao watakuona kama vile ni mdangaji.
Kama ni kuomba, omba ukiwa na amatatizo ya kweli na kubwa zaidi akisema hapana acha kununa kama vile unamdai!
Hapana, haipo hivyo, hata wale wanaojiuza nao wanaomba pesa na wanapewa tena nyingi tu kuliko hata walioolewa lakini hakuna upendo. Unawapoteza wanaume wengi sana kwa kutaka wahangaike na matatizo yako, si majukumu yao!
Wanakuacha kwakuwa wanakuona Mmdangaji! Wakati mwingine hata mwanaume hakuachi, lakini umemuomba pesa, kakuambia sina ila kwakua shoga yako alishakwambia kuwa kama mwanaume hakupi pesa basi hakupendi unamuamini, unamkasirikia na kumuacha.
Mwisho wa siku unakuta kila mwanaume unaachana naye kwani ni ngumu sana mwanaume kuanza kutatua matatizo yako wakati ndiyo mwanzo wa mahusiano. Utaacha wengi na utaachwa na wengi, kwakuwa nao watakuona kama vile ni mdangaji.
Kama ni kuomba, omba ukiwa na amatatizo ya kweli na kubwa zaidi akisema hapana acha kununa kama vile unamdai!