kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,095
Wakuu hivi ni kweli hayo yanayosemwa mbona mimi nakunywa najionaga kawaida tu 🤔
Zikipanda juu ndo inakuwaje sasa?Zinapanda Juu mkuu
Unataka unile kimasihara au siyo😂😂Inategemea na pombe, j1 tunywe wote ila hakuna haja ya mrejesho.
Imefanyaje ndiyo kwanza naamka🤔Hii akaunti sasa mh!
unaona watu sita sita na akili haipo unaanza kutukana honyo kichwa kinakua kama kichaaZikipanda juu ndo inakuwaje sasa?
Dume shoga iloHii akaunti sasa mh!
Wala sina nia hiyo!.Unataka unile kimasihara au siyo😂😂
Una nia ganiWala sina nia hiyo!.
Si ndo inavyotakiwa hivyo jamaniUnataka pombe ipande kwa Ubongo mjomba angu?
Hiyo mbaya aiseeunaona watu sita sita na akili haipo unaanza kutukana honyo kichwa kinakua kama kichaa
Upo Bar mkuu?ngoja nijiendee nyumbani
ndioUpo Bar mkuu?
Zinashuka kwenda tumboni jamani auSi ndo inavyotakiwa hivyo jamani
Kwani umewahi kunywa?Wakuu hivi ni kweli hayo yanayosemwa mbona mimi nakunywa najionaga kawaida tu 🤔