HIVI NI KWELI MZALENDO MDUDE NDIYO AMEPOTEZWA HIVYO NA HAWA POLICCM?

HIVI NI KWELI MZALENDO MDUDE NDIYO AMEPOTEZWA HIVYO NA HAWA POLICCM?

Huyu tusahau tu, amefanywa hakuna na watesi wa nchi.
 
Mdude is gone forever lakini hatutamsahau.
mdude.jpg
 
Jambo linalouma zaidi ni kuona mtu kutoka nchi nyingine anawaua, anawatesa, anawapoteza, anawafunga, na kuwanyanyasa wenye nchi yao! Huku akipata sapoti kutoka kwa collaborators wachache ndani ya nchi husika!!

Yaani ni kama tu kipindi cha ukoloni.
 
Kipindi hiki tutapata majibu ya yaliyofanyika sio mbali sana kutoka sasa.
 
Back
Top Bottom