Hivi ni kweli Mungu ana huruma!?

Mtapenda

JF-Expert Member
Sep 20, 2011
1,115
2,055
Imefika kipindi najiuliza huyu Mungu tunayemsoma kwenye vitabu vya dini Quran na biblia anahuruma kweli watalaam mje mnieleweshe.

Hivi inakuaje watu wanateseka iwe kwa kupenda ama kuto kupenda mfano mtoto anazaliwa mlemavu wa viungo, mtoto anazaliwa anamatatizo ya moyo, ini figo ama mapafu maisha yake yanakua ya shida.

Pia wapo watu wazima wanateseka sanaa na magonjwa nikipita mitandaoni naona wanashida sanaa kiasi kwamba wanashindwa ata kujitibia hawana kipato mtu anaumwa moyo, cancer, figo zinafeli, mbaya zaidi masikini hajiwezi nabaki kutokwa na machozi.

Nimeapa siku nikipata kipato cha kutoka 10% ya kipato changu kitakua kwaajili ya kutoa misaaada ya watu wasiojiweza kumudu matibabu ya matatizo makubwa sahii natoa kiasi kidogo mnoo ambacho ata dawa hakitoshi kwa huyo mgonjwa.

Inafika kipindi nawaza niwe mponyaji kwa njia yoyote iwe ya kienyeji ama hii ya kiroho najikuta nashindwa.. nimeamua nitafute hela 10% iwe kwa msaada tuu... Kwakweli naumia sanaa kuona watu wakiteseka na magonjwa na shida mbali mbali

Nikawa najiuliza Mungu ana huruma kweli.. Mungu muweza yote kwanini karuhusu watu wateseke hivi na wajute kuishi duniani maana hawakupenda kuzaliwa walivyo na hawakupenda wawepo duniani zaidi ya mapenzi yake yeye.. kwanini asiwaponye.

Ina maana wanadamu akina Malisa ndio wamekuwa na huruma kuliko Mungu wanachangisha michango watu watibiwe wapone au huyu tunayesimuliwa sio yeye yupo mwenyewe lakini kwanini iwe hivi
 
Dah Maxence Melo inabidi muweke jukwaa la hizi mada zinazousu mambo ya Mungu ukiachana na lile la dini watu wawe wana mwaga nyongo zao huko.

Maana hizi mada zimezidi sasa kuhusu Mungu kuwe na jukwaa hata liitwe HABARI ZA MUNGU SHETANI NA WASIO HAMINI.

Au nimekosea mkuu kuuliza naomba unijibu unavyoona inafaa
 
Anahuruma wapi?
Kama tu alikubali kumtoa mwanae wa pekee achezee mijeledi vile atashindwa nini kukuacha wewe utesekee hapa duniani?

Hilo jambo linanifanya niwaze nikiwaona wenye matatizo makali na makubwa
 
Au nimekosea mkuu kuuliza naomba unijibu unavyoona inafaa
Mambo ya Mungu muachie Mungu mwenyewe, kikubwa unatakiwa umuombe sana asikuchague kuwa miongoni mwa hao wanaoteseka japo pia haizuii kukuchagua pindi anapotaka kufanya hivyo
 
Imefika kipindi najiuliza huyu Mungu tunayemsoma kwenye vitabu vya dini Quran na biblia anahuruma kweli watalaam mje mnieleweshe.

Hivi inakuaje watu wanateseka iwe kwa kupenda ama kuto kupenda mfano mtoto anazaliwa mlemavu wa viungo, mtoto anazaliwa anamatatizo ya moyo, ini figo ama mapafu maisha yake yanakua ya shida.

Pia wapo watu wazima wanateseka sanaa na magonjwa nikipita mitandaoni naona wanashida sanaa kiasi kwamba wanashindwa ata kujitibia hawana kipato mtu anaumwa moyo, cancer, figo zinafeli, mbaya zaidi masikini hajiwezi nabaki kutokwa na machozi.

Nimeapa siku nikipata kipato cha kutoka 10% ya kipato changu kitakua kwaajili ya kutoa misaaada ya watu wasiojiweza kumudu matibabu ya matatizo makubwa sahii natoa kiasi kidogo mnoo ambacho ata dawa hakitoshi kwa huyo mgonjwa.

Inafika kipindi nawaza niwe mponyaji kwa njia yoyote iwe ya kienyeji ama hii ya kiroho najikuta nashindwa.. nimeamua nitafute hela 10% iwe kwa msaada tuu... Kwakweli naumia sanaa kuona watu wakiteseka na magonjwa na shida mbali mbali

Nikawa najiuliza Mungu ana huruma kweli.. Mungu muweza yote kwanini karuhusu watu wateseke hivi na wajute kuishi duniani maana hawakupenda kuzaliwa walivyo na hawakupenda wawepo duniani zaidi ya mapenzi yake yeye.. kwanini asiwaponye.

Ina maana wanadamu akina Malisa ndio wamekuwa na huruma kuliko Mungu wanachangisha michango watu watibiwe wapone au huyu tunayesimuliwa sio yeye yupo mwenyewe lakini kwanini iwe hivi
Maombolezo 3.33
 
Hapo ndio wanadamu hupotea njia, lengo la shetani kukujaribu katika shida na taabu ni ili imani yako iumbike na uone kuwa hapa sitaweza kwa nguvu zangu mwenyewe. (Maombolezo 3:40, Na tuchunguze njia zetu na kuzijaribu, na kumrudia Bwana tena)
Ayubu alilitambua hilo na mwishowe Mungu alimrehemu na kurejesha hali yake ya mwanzo na kummbariki hata zaidi ya vile alikuwa navyo.
Nimegundua mwanadamu akipata shida anaanza kuona MUNGU hayupo...
 
Imefika kipindi najiuliza huyu Mungu tunayemsoma kwenye vitabu vya dini Quran na biblia anahuruma kweli watalaam mje mnieleweshe.

Hivi inakuaje watu wanateseka iwe kwa kupenda ama kuto kupenda mfano mtoto anazaliwa mlemavu wa viungo, mtoto anazaliwa anamatatizo ya moyo, ini figo ama mapafu maisha yake yanakua ya shida.

Pia wapo watu wazima wanateseka sanaa na magonjwa nikipita mitandaoni naona wanashida sanaa kiasi kwamba wanashindwa ata kujitibia hawana kipato mtu anaumwa moyo, cancer, figo zinafeli, mbaya zaidi masikini hajiwezi nabaki kutokwa na machozi.

Nimeapa siku nikipata kipato cha kutoka 10% ya kipato changu kitakua kwaajili ya kutoa misaaada ya watu wasiojiweza kumudu matibabu ya matatizo makubwa sahii natoa kiasi kidogo mnoo ambacho ata dawa hakitoshi kwa huyo mgonjwa.

Inafika kipindi nawaza niwe mponyaji kwa njia yoyote iwe ya kienyeji ama hii ya kiroho najikuta nashindwa.. nimeamua nitafute hela 10% iwe kwa msaada tuu... Kwakweli naumia sanaa kuona watu wakiteseka na magonjwa na shida mbali mbali

Nikawa najiuliza Mungu ana huruma kweli.. Mungu muweza yote kwanini karuhusu watu wateseke hivi na wajute kuishi duniani maana hawakupenda kuzaliwa walivyo na hawakupenda wawepo duniani zaidi ya mapenzi yake yeye.. kwanini asiwaponye.

Ina maana wanadamu akina Malisa ndio wamekuwa na huruma kuliko Mungu wanachangisha michango watu watibiwe wapone au huyu tunayesimuliwa sio yeye yupo mwenyewe lakini kwanini iwe hivi
Mimi nafikiri Mungu yupo, ila yuko tofauti sana na tunavyodhani.
 
Mambo ya Mungu muachie Mungu mwenyewe, kikubwa unatakiwa umuombe sana asikuchague kuwa miongoni mwa hao wanaoteseka japo pia haizuii kukuchagua pindi anapotaka kufanya hivyo
Kwahiyo haturuhusiwi ata kufanya reasoning na kuhoji kwa watalaam wa Mungu walete maelezo

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom