Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,183
- 3,547
Katika pitapita zangu nimesikia kuwa wachagga wa Tanzania na wakikuyu wa kikenya ni kabila MOJA.......
Lakini upande wa pili tunaambiwa mchagga akiwa Kenya anaitwa mkikuyu na mkikuyu akiaa uku anaitwa mchagaaaaa.
Je ni kweli
Lakini upande wa pili tunaambiwa mchagga akiwa Kenya anaitwa mkikuyu na mkikuyu akiaa uku anaitwa mchagaaaaa.
Je ni kweli