Mimi napinga na nitapinga hadi kifo, we una uhakika gani kuwa Me wote huwa tunapizi baada ya dkk 2 tu?
Kumbe upungufu wa nguvu za kiume siku hizi ni kukawia kupizi? basi sawa.Acha kubishana na ukweli wewe tena ukiona chakwanza unachelewa sana ujue una upungufu wa nguvu zakiume
Kama tafiti wanafanyia wakazi wa Kinondoni unatarajia matokeo gani za ya hayo.
Kumbe upungufu wa nguvu za kiume siku hizi ni kukawia kupizi? basi sawa.
Kustahimili joto la uke inategemea mambo mengi sana;
1. Uzoefu wako na huyo mwanamke na uzoefu wa mwanaume. Kama ni mara ya kwanza Mara nyingi kuna kua na papara za hapa na pale ambazo husababisha kumwaga mapema.
2. Blood group zenu. Mara nyingi blood group zinamater sana that is why unaweza kutana na mwanamke mwenye uke mkubwa ila sensations ikawa high kuliko mwenye uke tight.
3.
Nazani hizo mbili ndo zamuhimu zaidi