hivi ni kweli hawa wazungu wa udsm....ni kweli wametoka makwao kuja kusoma hiki chuo

Somoe, unaweza kutoa point bila kukandamiza waafrika. Si kila mzungu umuonae ni "interigent".

Anyways, C programming, kwanza si wazungu wote wanaoweza kuenda Harvard wala Oxford. Kwa asilimia kubwa ya population hiyo ni ndoto tu.

Vyuo vingi ughaibuni vina exchange program, yaani unachukua semester moja unaenda nchi ya nje kusomea huku ukijipatia credit kwenye somo fulani. Hii inasaidia kukupa exposure na nchi/utamaduni wa watu wengine, na pia inakupa kitu cha kukutofautisha na wengine kupitia CV.

Mfano classmates wooote mgekuwa na qualifications sawa kwenye CV lakini wewe ukawa una semester moja angalau Kenya, Uganda au Msumbiji kidogo inakufanya u-stand out. Kwahiyo kama una uwezo wa kusafiri au kusomea nje, japo kwa semester moja ningekushauri ufanye.

Samahani, sikuandika kila nzungu umuonae ni interigent.
Ila nimeandika wazungu wanaokuja Afrika wapo very interigent.

Swala la kuponda waafrika kwangu lipo bado pale pale kwa kweli.
Muafika ambao wapo interigent wanakuwa waaribifu, na wanyanyasaji kwa wananchi wenzao.

Na mzungu akija kutoa unyanyasaji, waafrika haipendagi sababu mamlaka yao yatapungua.


Mara nyingi exchange student wa kizungu, wanakuja kufanya observation for research"
Upelelezi kwa mtu flan,au watu flan, kitu flan au vitu flan.
Report watakazo zirudisha zitafanyiwa kazi na wakubwa wao,

Nimesomea nchi moja ya ulaya,
Nakumbuka exchange student wa kizungu walipelekwa India, wakarudisha report ya kusikitisha sana, hadi waziri wa elim wa kizungu aliitwa kuja kusikiliza.

Waziri wa elim wa kizungu alipiga kilio kusikia manyanyaso ya wanafunzi wa kimaskini ya huko India, tena na serikali yao.
Discussion ikaendelea na utaratibu wa kusaidia hao wanafunzi kutoka family masikini ukaanza.

Wakaenda kuwachukua wanafuzi kama 15 waliofukuzwa shuleni, wakamaliza shule vizuri na organization wakaianzisha hapo hapo. Na ilikuwa kila mwaka exchange student wakirudi basi utasikia jipya kutoka nchi furani, na teyari utaratibu wa kuasaidia unaanza, kama si ki pesa, basi hata madawati, au mawazo.

Siku hizi ndio wanapelekaga maloptop na mfumo wa ki IT.

Fikiria unatoka nchi ilio endelea na technologia poa, kila kitu mwananchi umerahisishiwa, unaenda nchi ipo nyuma kimaendeleo.
Ni kama vile unaishi masaki maisha yako yote, alafu unambiwa ili uweze kufaulu mtiani wa mwisho unalazimika ukaishi na watu masikini, kijijini kwenye nyumba za nyasi, mvua inakunyeshea, mbu, maji ya matope, chakula kila siku hiko hiko, usalama barabarani mbovu, watu ufa hovyo kwa magonjwa na ajari, yaani vitu vinavoweza kuzuilika visitoke. Na inabidi ulete report na uelezee njinsi gani unaweza kuwasaidia watu kama hawa ukiwa, mkubwa wa nchi!!!!

Uwezi kuona hata siku moja mtanzania alie ishi masaki maisha yake yote au mtoto wa waziri, akapelekwa vijijini kwa mda kusoma mazingira.

Akili za kiafrika,alie juu hataki kwenda chini. Hivo wakimuona mzungu alie juu anakuja chini wanamshangaa.
 

Samahani, sikuandika kila nzungu umuonae ni interigent.
Ila nimeandika wazungu wanaokuja Afrika wapo very interigent.

Swala la kuponda waafrika kwangu lipo bado pale pale kwa kweli.
Muafika ambao wapo interigent wanakuwa waaribifu, na wanyanyasaji kwa wananchi wenzao.

Na mzungu akija kutoa unyanyasaji, waafrika haipendagi sababu mamlaka yao yatapungua.


Mara nyingi exchange student wa kizungu, wanakuja kufanya observation for research"
Upelelezi kwa mtu flan,au watu flan, kitu flan au vitu flan.
Report watakazo zirudisha zitafanyiwa kazi na wakubwa wao,

Nimesomea nchi moja ya ulaya,
Nakumbuka exchange student wa kizungu walipelekwa India, wakarudisha report ya kusikitisha sana, hadi waziri wa elim wa kizungu aliitwa kuja kusikiliza.

Waziri wa elim wa kizungu alipiga kilio kusikia manyanyaso ya wanafunzi wa kimaskini ya huko India, tena na serikali yao.
Discussion ikaendelea na utaratibu wa kusaidia hao wanafunzi kutoka family masikini ukaanza.

Wakaenda kuwachukua wanafuzi kama 15 waliofukuzwa shuleni, wakamaliza shule vizuri na organization wakaianzisha hapo hapo. Na ilikuwa kila mwaka exchange student wakirudi basi utasikia jipya kutoka nchi furani, na teyari utaratibu wa kuasaidia unaanza, kama si ki pesa, basi hata madawati, au mawazo.

Siku hizi ndio wanapelekaga maloptop na mfumo wa ki IT.

Fikiria unatoka nchi ilio endelea na technologia poa, kila kitu mwananchi umerahisishiwa, unaenda nchi ipo nyuma kimaendeleo.
Ni kama vile unaishi masaki maisha yako yote, alafu unambiwa ili uweze kufaulu mtiani wa mwisho unalazimika ukaishi na watu masikini, kijijini kwenye nyumba za nyasi, mvua inakunyeshea, mbu, maji ya matope, chakula kila siku hiko hiko, usalama barabarani mbovu, watu ufa hovyo kwa magonjwa na ajari, yaani vitu vinavoweza kuzuilika visitoke. Na inabidi ulete report na uelezee njinsi gani unaweza kuwasaidia watu kama hawa ukiwa, mkubwa wa nchi!!!!

Uwezi kuona hata siku moja mtanzania alie ishi masaki maisha yake yote au mtoto wa waziri, akapelekwa vijijini kwa mda kusoma mazingira.

Akili za kiafrika,alie juu hataki kwenda chini. Hivo wakimuona mzungu alie juu anakuja chini wanamshangaa.[/QUOTE
 

Samahani, sikuandika kila nzungu umuonae ni interigent.
Ila nimeandika wazungu wanaokuja Afrika wapo very interigent.

Swala la kuponda waafrika kwangu lipo bado pale pale kwa kweli.
Muafika ambao wapo interigent wanakuwa waaribifu, na wanyanyasaji kwa wananchi wenzao.

Na mzungu akija kutoa unyanyasaji, waafrika haipendagi sababu mamlaka yao yatapungua.


Mara nyingi exchange student wa kizungu, wanakuja kufanya observation for research"
Upelelezi kwa mtu flan,au watu flan, kitu flan au vitu flan.
Report watakazo zirudisha zitafanyiwa kazi na wakubwa wao,

Nimesomea nchi moja ya ulaya,
Nakumbuka exchange student wa kizungu walipelekwa India, wakarudisha report ya kusikitisha sana, hadi waziri wa elim wa kizungu aliitwa kuja kusikiliza.

Waziri wa elim wa kizungu alipiga kilio kusikia manyanyaso ya wanafunzi wa kimaskini ya huko India, tena na serikali yao.
Discussion ikaendelea na utaratibu wa kusaidia hao wanafunzi kutoka family masikini ukaanza.

Wakaenda kuwachukua wanafuzi kama 15 waliofukuzwa shuleni, wakamaliza shule vizuri na organization wakaianzisha hapo hapo. Na ilikuwa kila mwaka exchange student wakirudi basi utasikia jipya kutoka nchi furani, na teyari utaratibu wa kuasaidia unaanza, kama si ki pesa, basi hata madawati, au mawazo.

Siku hizi ndio wanapelekaga maloptop na mfumo wa ki IT.

Fikiria unatoka nchi ilio endelea na technologia poa, kila kitu mwananchi umerahisishiwa, unaenda nchi ipo nyuma kimaendeleo.
Ni kama vile unaishi masaki maisha yako yote, alafu unambiwa ili uweze kufaulu mtiani wa mwisho unalazimika ukaishi na watu masikini, kijijini kwenye nyumba za nyasi, mvua inakunyeshea, mbu, maji ya matope, chakula kila siku hiko hiko, usalama barabarani mbovu, watu ufa hovyo kwa magonjwa na ajari, yaani vitu vinavoweza kuzuilika visitoke. Na inabidi ulete report na uelezee njinsi gani unaweza kuwasaidia watu kama hawa ukiwa, mkubwa wa nchi!!!!

Uwezi kuona hata siku moja mtanzania alie ishi masaki maisha yake yote au mtoto wa waziri, akapelekwa vijijini kwa mda kusoma mazingira.

Akili za kiafrika,alie juu hataki kwenda chini. Hivo wakimuona mzungu alie juu anakuja chini wanamshangaa.

Ulikua unamaanisha

Ulikua unamaanisha "intelligent" ? yaani mtu mwenye uwezo mkubwa wa ku-reason?

"Shule moja huko ulaya" ndio shule gani?
 
Naomba nikusahihishe, kwa university level I assume unafahamu kuwa the correct spelling is "intelligent".

That said, inaonekana unataka ku-compare machungwa na maembe. Huwezi kulinganisha viongozi wa Tanzania na viongozi wa nchi za magharibi. Kumbuka iliwachukua mamia ya miaka kufika hatua waliopo sasahivi. Yaani uchumi imara, viongozi wanaowajibika n.k. Tanzania bado hatujafika hii hatua sababu watu bado hawajaelimika. Bado tuko gizani. Waliopo juu si necessarily wenye akili zaidi ya wote. Ni basi tu wale waliobahatika kusomeshwa enzi za kina Nyerere na Mwinyi ili kujaza nafasi serekalini. It doesn't necessarily mean they were the best people for the job, which is why unaona madudu yanayofanyika nchini Tanzania.

Huwezi ku-compare watu wanaoishi Masaki na watu wanaoishi nchi za magharibi. Ukiangalia takwimu za Tanzania, asalimia kubwa wanaishi kwenye umasikini. Kwenye nchi za magharibi masikini hawazidi watu walio na kipato cha juu na cha wastani ndio maana ni watu wengi zaidi wanaojitolea kusaidia masikini ndani na nje ya nchi.

Hata nchini Tanzania, si lazima uwe unaishi Masaki kusaidia wenzako. Watu husaidiana ndugu kwa ndugu. Takwimu hazipo, lakini unachotakiwa kufanya ni kujiangalia mwenyewe, majirani, na wazazi wako ili kuona wanachokifanya kusaidia watanzania wenzako. Hata hao wanaoishi maeneo ya matajiri watakuwa na ndugu wanaosaidia kulipa ada na makorokoro mengine mengi. Si lazime uhamie kabisa kijijini ili uone hali halisi wakati unayo macho mawili.

Mwisho, kusaidia ma laptop si sababu ya kuabudu wazungu kuwa ni watu wema saaana. Ni sawa na hao wanaoleta chandarua ili kupunguza vifo vinavyotokana na malaria, huku wengine weengi wakijichotea madini. Chandarua VS. madini, wapi na wapi? Nilikuwa naangalia documentary moja iliyoonesha eneo moja Zambia inayozalisha copper (sijui neno kwa kiswahili) na jinsi faida zote zinaenda kwa watu wachache sana (chini ya 20) nchini Uswisi. Watu waishio eneo hilo ni masikini wa kutupa, na wagonjwa kutokana na uchafu wa hewa eneo hilo.

Umesahau mambo ya ukoloni, utumwa, Hitler, drones etc. yote ni wazungu. We can go on and on. I'm not trying to make them out to be evil, lakini nataka usisahau kuwa wazungu, waafrika, wachina, waarabu, n.k wote wana mazuri yao na mabaya.

If you want to see change, be the change.



Samahani, sikuandika kila nzungu umuonae ni interigent.
Ila nimeandika wazungu wanaokuja Afrika wapo very interigent.

Swala la kuponda waafrika kwangu lipo bado pale pale kwa kweli.
Muafika ambao wapo interigent wanakuwa waaribifu, na wanyanyasaji kwa wananchi wenzao.

Na mzungu akija kutoa unyanyasaji, waafrika haipendagi sababu mamlaka yao yatapungua.


Mara nyingi exchange student wa kizungu, wanakuja kufanya observation for research"
Upelelezi kwa mtu flan,au watu flan, kitu flan au vitu flan.
Report watakazo zirudisha zitafanyiwa kazi na wakubwa wao,

Nimesomea nchi moja ya ulaya,
Nakumbuka exchange student wa kizungu walipelekwa India, wakarudisha report ya kusikitisha sana, hadi waziri wa elim wa kizungu aliitwa kuja kusikiliza.

Waziri wa elim wa kizungu alipiga kilio kusikia manyanyaso ya wanafunzi wa kimaskini ya huko India, tena na serikali yao.
Discussion ikaendelea na utaratibu wa kusaidia hao wanafunzi kutoka family masikini ukaanza.

Wakaenda kuwachukua wanafuzi kama 15 waliofukuzwa shuleni, wakamaliza shule vizuri na organization wakaianzisha hapo hapo. Na ilikuwa kila mwaka exchange student wakirudi basi utasikia jipya kutoka nchi furani, na teyari utaratibu wa kuasaidia unaanza, kama si ki pesa, basi hata madawati, au mawazo.

Siku hizi ndio wanapelekaga maloptop na mfumo wa ki IT.

Fikiria unatoka nchi ilio endelea na technologia poa, kila kitu mwananchi umerahisishiwa, unaenda nchi ipo nyuma kimaendeleo.
Ni kama vile unaishi masaki maisha yako yote, alafu unambiwa ili uweze kufaulu mtiani wa mwisho unalazimika ukaishi na watu masikini, kijijini kwenye nyumba za nyasi, mvua inakunyeshea, mbu, maji ya matope, chakula kila siku hiko hiko, usalama barabarani mbovu, watu ufa hovyo kwa magonjwa na ajari, yaani vitu vinavoweza kuzuilika visitoke. Na inabidi ulete report na uelezee njinsi gani unaweza kuwasaidia watu kama hawa ukiwa, mkubwa wa nchi!!!!

Uwezi kuona hata siku moja mtanzania alie ishi masaki maisha yake yote au mtoto wa waziri, akapelekwa vijijini kwa mda kusoma mazingira.

Akili za kiafrika,alie juu hataki kwenda chini. Hivo wakimuona mzungu alie juu anakuja chini wanamshangaa.
 
Ulikua unamaanisha

Ulikua unamaanisha "intelligent" ? yaani mtu mwenye uwezo mkubwa wa ku-reason?

"Shule moja huko ulaya" ndio shule gani?

yes nilikuwa namaanisha intelligent. Nikiandika haraka haraka nakoseaga, samahani
 
Hawa jamaa sio wa kuamini sana, hata wanao kuja kuvorontea huku ni watu wa kuogopa sana, na kumbuka kuna fulani tulikuwa nao na wanafanya kazi za kujitolea, Jamaa walikuwa wanakusanya Data and then report zao waenda kuandikia Ubalozini kwao, kuna kipindi walikuwa wanatoweka kama wiki mbili wanaenda dar, kumbe ikaja kujulikana huwa wanaenda kuandika report na kuzituma, huko huko na kazi wanafanyia kwenye komputa za Ubalozi, za kwao hawatumii kabisa,
 
wengine wako exchange programme, iko project moja finland ambayo inadhamini wafini kuja tz na zambia, na watz na wazambia wanaenda ufini.....lengo ni kujifunza kuhusu development issues na kupata new insights from both sides....so usic=shangae sana ukiwaona watoto wa kimanyema hapo
 
wanayo mengi ya kujifunza kutoka huku,moja wapo ni lugha ya Kiswahili,hawapo wazungu tu,kuna wanaotoka Ghana kuja kusoma kiswahili
habali wanajf,kwa wale wafanyakazi,wapita njia,wanafunzi wa udsm...hapa chuoni nimekuwa nikiwaona baadhi ya wazungu wakizungukazunguka maeneo ya chuo wengine wakionekana ma class wakipiga mapindi....

hivi swali ambalo najiuliza hivi mzungu anaweza akaamuaa kuacha kusoma kwao vyuo vya ukweli kama harvard,oxford ,aje kusoma tanzania ...tena chuo udsm....au wana lao jambo wanalitafuta....hapa maana isije siku watu wakajitoa muhanga...
 
Ninavyojua ni kwamba,tafiti nyingi hufanyika africa,na maeneo tulivu hupendwa sana.
Lakini pia huenda nao wapo hapa kutokana na ukata////
 
1. unafikiria mashushushu wanafanyaje kazi?
2. hata huko kwao huoni kuna watizedi wasomao huko? wengine wako kikazi zaidi
3. pia usikidharua UDSM...ni chuo chenye heshima kubwa sana duniani. Tangu enzi zile za miaka ya 1970's na kadharika....kilijenga heshima kubwa sana na mpaka leo bado ipo. Watu wa nje huona fahari kusoma UDSM.....
4. Wengine wanakuja kujifunza lugha...hii ni mbinu nzuri ya kujua lugha kwa ufasaha - kuifundishwa na wazawa na ukiwa katika mazingira husika (asilia)
5. Mwisho, watizedi wafanyao kazi nje ya nchi wanafanya vizuri sana (hasa wakijua walikuwa graduates wa UDSM) kwa hivyo utendaji wao huo wa kazi huwakosha wazungu et al na hivyo wanakuja TZ kujifunza na kuishi
6. Maisha ni rahisi sana katika nchi za Kiafrika....wengine huko kwao choka mbaya
zote hizo ni sababu kadhaa tu nyingine sijazijua bado
 

Samahani, sikuandika kila nzungu umuonae ni interigent.
Ila nimeandika wazungu wanaokuja Afrika wapo very interigent.

Swala la kuponda waafrika kwangu lipo bado pale pale kwa kweli.
Muafika ambao wapo interigent wanakuwa waaribifu, na wanyanyasaji kwa wananchi wenzao.

Na mzungu akija kutoa unyanyasaji, waafrika haipendagi sababu mamlaka yao yatapungua.


Mara nyingi exchange student wa kizungu, wanakuja kufanya observation for research"
Upelelezi kwa mtu flan,au watu flan, kitu flan au vitu flan.
Report watakazo zirudisha zitafanyiwa kazi na wakubwa wao,

Nimesomea nchi moja ya ulaya,
Nakumbuka exchange student wa kizungu walipelekwa India, wakarudisha report ya kusikitisha sana, hadi waziri wa elim wa kizungu aliitwa kuja kusikiliza.

Waziri wa elim wa kizungu alipiga kilio kusikia manyanyaso ya wanafunzi wa kimaskini ya huko India, tena na serikali yao.
Discussion ikaendelea na utaratibu wa kusaidia hao wanafunzi kutoka family masikini ukaanza.

Wakaenda kuwachukua wanafuzi kama 15 waliofukuzwa shuleni, wakamaliza shule vizuri na organization wakaianzisha hapo hapo. Na ilikuwa kila mwaka exchange student wakirudi basi utasikia jipya kutoka nchi furani, na teyari utaratibu wa kuasaidia unaanza, kama si ki pesa, basi hata madawati, au mawazo.

Siku hizi ndio wanapelekaga maloptop na mfumo wa ki IT.

Fikiria unatoka nchi ilio endelea na technologia poa, kila kitu mwananchi umerahisishiwa, unaenda nchi ipo nyuma kimaendeleo.
Ni kama vile unaishi masaki maisha yako yote, alafu unambiwa ili uweze kufaulu mtiani wa mwisho unalazimika ukaishi na watu masikini, kijijini kwenye nyumba za nyasi, mvua inakunyeshea, mbu, maji ya matope, chakula kila siku hiko hiko, usalama barabarani mbovu, watu ufa hovyo kwa magonjwa na ajari, yaani vitu vinavoweza kuzuilika visitoke. Na inabidi ulete report na uelezee njinsi gani unaweza kuwasaidia watu kama hawa ukiwa, mkubwa wa nchi!!!!

Uwezi kuona hata siku moja mtanzania alie ishi masaki maisha yake yote au mtoto wa waziri, akapelekwa vijijini kwa mda kusoma mazingira.

Akili za kiafrika,alie juu hataki kwenda chini. Hivo wakimuona mzungu alie juu anakuja chini wanamshangaa.

Chukua big "like" mkuu..!
 
Back
Top Bottom