Hivi ni kwanini Wanaume wengi waliokwishaoa, wakija kufanikiwa baadae kimaisha hutamani kuoa/kupata Mke/Mwenza mpya?

Ukiwa na uwezo wa kuhudumia, why not! Kuongeza sio tatizo. Mbaya ni kuacha (replace) au kudharau nyumba kubwa.
 
Nimeona hili kwa Wanaume wengi, mambo yakiwa safi..hakuwa na Gari sasa kawa nalo, hakuwa na Nyumba sasa anayo...basi kifuatacho ni Mamaa mwingine atatafutwa.
Hii inatokana kuwa wakati huna hela wazuri wengi tunawaita mashemeji pia wanawake wanatubagua tukiwa hatuna kitu so tukiwa na mpunga huwa tunatafuta wa hadhi yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii inatokana kuwa wakati huna hela wazuri wengi tunawaita mashemeji pia wanawake wanatubagua tukiwa hatuna kitu so tukiwa na mpunga huwa tunatafuta wa hadhi yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio pointi nilyokuwa najaribu kuionyesha hapa.

Ndio maana swali langu kuu likawa 'kwa nini basi Mwanaume usitafute kwanza hizo pesa za kutosha kumpata Mwanamke wa ndoto yako badala ya kuwapotezea wengine muda wao?'
 
Nadhani hii inachangiwa zaidi na kuwa mara nyingi tunaoa watu ambao sio tunaowapenda ukizingatia unakuwa hujafanikiwa so kumpata yule unaempenda ni vigumu kidogo ukizingatia wanawake wengi pia hupenda wanaume wenye uwezo, so inapokija umefanikiwa ina maana una uwezo wa kumpata mwanamke yeyote unayemtaka ndo hapo unaanza kumuona/ kujua kama huyu uliyenae ulikosea na sio size yako!!!
 
Uwe na mwanamke mmoja kwani amekuwa mama yako mzazi huyo?
Che! Kipato kikiongezeka na mimi naongeza tu.
Kama yeye mmoja tumeweka milioni 10 kwa miaka mitano, akija mwenzake ndio tutaweka hiyo kwa miaka miwili na nusu
 
Nadhani hii inachangiwa zaidi na kuwa mara nyingi tunaoa watu ambao sio tunaowapenda ukizingatia unakuwa hujafanikiwa so kumpata yule unaempenda ni vigumu kidogo ukizingatia wanawake wengi pia hupenda wanaume wenye uwezo, so inapokija umefanikiwa ina maana una uwezo wa kumpata mwanamke yeyote unayemtaka ndo hapo unaanza kumuona/ kujua kama huyu uliyenae ulikosea na sio size yako!!!
Exactly my point.

Na pia kama huna pesa unakosa kujiamini (confidence) ya kumtokea Mwanamke wa chaguo lako na utaishia kukamata unachokifikia kwa wakati huo.

Sasa basi kumbe ipo haja Wanaume washauriwe wawe na subira ili wapate watakacho, tuepushe maumivu kwa wasio hatia.
 
Exactly my point.

Na pia kama huna pesa unakosa kujiamini (confidence) ya kumtokea Mwanamke wa chaguo lako na utaishia kukamata unachokifikia kwa wakati huo.

Sasa basi kumbe ipo haja Wanaume washauriwe wawe na subira ili wapate watakacho, tuepushe maumivu kwa wasio hatia.

changamoto ni kwamba mafanikio huja kwa wakati anaotaka Mungu na sio kwa kupanga sisi japo tunatakiwa kuweka juhudi katika utafutaji, ndo maana kuna wengine wana-hustle sana bado wanakuja kufanikiwa katika age ya miaka 60 so ni ngumu kusema usubiri maana hujui utafanikiwa lini.

kuhusu confidence hii inatokana na ukweli kwamba asilimia kubwa ya wanawake wazuri hupenda kuwa na mahusiano na wanaume waliofanikiwa wakiamini uzuri wao haustahili kwenda kuishi maisha ya shida na mara nyingi huwa na nyodo sana.

NB; Kumbuka pia kwamba kuna kifo so unaweza ukafa kabla hujafanikiwa so wazo la kusubiri mafanikio ndo uoe pia sio sahihi sana!!!
 
changamoto ni kwamba mafanikio huja kwa wakati anaotaka Mungu na sio kwa kupanga sisi japo tunatakiwa kuweka juhudi katika utafutaji, ndo maana kuna wengine wana-hustle sana bado wanakuja kufanikiwa katika age ya miaka 60 so ni ngumu kusema usubiri maana hujui utafanikiwa lini.

kuhusu confidence hii inatokana na ukweli kwamba asilimia kubwa ya wanawake wazuri hupenda kuwa na mahusiano na wanaume waliofanikiwa wakiamini uzuri wao haustahili kwenda kuishi maisha ya shida na mara nyingi huwa na nyodo sana.

NB; Kumbuka pia kwamba kuna kifo so unaweza ukafa kabla hujafanikiwa so wazo la kusubiri mafanikio ndo uoe pia sio sahihi sana!!!
Na pia Wanawake wa aina hiyo hata kama utafanikiwa kumpata na huna chochote atakuweka roho juu muda wote wa ndoa/mahusiano yenu.

Sasa je, una ushauri gani kwa kina Dada wanaoingia kwenye Ndoa wakiwa bado hohe hahe (Mume na Mke), kwamba wajiandae tu kisaikolojia.
 
Upo na mwanamke miaka mi5 hajawai kuchangia chochote kwenye maendeleo zaidi ya kutengeneza migogoro hizio na sababu mradi tuu akukwamishe kimaendeleo!....alafu siku nifanikiwe niendelee kukaa nae?

Yani niwe na gari bovu kila siku ni spana mkonani alafu siku nipate pesa ya kununua gari jipya bado niendelee kung'ang'ana na kimeo?

Sent using Jamii Forums mobile app



Unataka kusema kwamba hao wanaume wote wanaoongeza wake hao wake zao wa mwanzo wote wako hivyo unavyodai?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom