FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,530
- 46,614
- Thread starter
- #101
Mbu wa 1950’s waliokuwa wanawaua kwa DDT walitoka wapi?Du!hakuna uhusiano wa maendeleo ya nchi na kuwepo kwa mdudu Mbu, simple explaination ya kwann Usa hakuna Malaria ni kwamba hakuna Vector wake ambaye ni Mbu kwakuwa mazingira ya Amerika hayaruhusu mbu ki survive nchi zilizo ktk ukanda wa kitropiki na zenye maendeleo makubwa km Brazil zina Malaria kama kawa na Zica juu.