Hivi ni kwanini Marekani hakuna malaria?

Hivi ni kwanini Marekani hakuna malaria?

Du!hakuna uhusiano wa maendeleo ya nchi na kuwepo kwa mdudu Mbu, simple explaination ya kwann Usa hakuna Malaria ni kwamba hakuna Vector wake ambaye ni Mbu kwakuwa mazingira ya Amerika hayaruhusu mbu ki survive nchi zilizo ktk ukanda wa kitropiki na zenye maendeleo makubwa km Brazil zina Malaria kama kawa na Zica juu.
Mbu wa 1950’s waliokuwa wanawaua kwa DDT walitoka wapi?
 
Mi hapa ndio huwa nashindwa kuelewa,nakumbuka miaka ya nyuma sana kulikuwa kuna mradi wa kutokomeza malaria, walikuwa wanapulizia dawa kwenye nyumba,ulikuwa unakaa mpaka mieze 6 hujaona wala kusikia Mbu,sijui kwanini wameachana na hii mikakati ya kutokomeza malaria nchini kwetu.
Shida ni makampuni ya dawa za malaria yalianza kulalamika biashara ngumu, hivyo ilibidi wasaidiwe kwa njia hii
 
Malaria ikiondoka watu watapataje fedha
This is business mzee

Ova
 
Hata Mbeya maeneo ya Tukuyu hakuna mbu kabisa, nafikiri sabu ya baridi, Ila nenda Kyela kuna joto kali sana na kuna mbu ukubwa wa nzi wale wa chooni na wakikuuma utahisi umepigwa sindano ya powerself injection.... Wanapaita Dar ndogo..
 
Njombe pia hakuna malaria, unalifahamu hilo?
 
Inasikitisha sana, waturuhumie na sisi Africa tupate unafuu aisee, daah
Tatizo siyo nchi za nje ni nchi zetu na serikali zetu wenyewe....unafikiri na wao wanashindwa kutokomeza malaria

Ova
 
Kabla hujasema hili ungeenda manzese na tandale uone maji yalivyosimama kila mahali na huko ndio mbu wanazaliana. NGO wao wanalijua hili lakini hawataweza kulitatua kwani hata serikali limewashinda. Ni lazima jiji lijengwe upya kabisa ili kuweka drainage.
Mbu wapo mto Msimbazi...kipindi nakaa kule chini Kinondoni Moscow!!! Acha kabisa....!!! Mbu anatoboa jeans akitafuta...damu ya mtu! Ukisema ujifunike gubigubi na blanketi zito joto balaa!!!
 
Kama malaria ana survive kwenye nchi za ki tropic
Inakuwaje nchi zingine zenye Hali hii waliteketeza malaria sisi tushindwe....tatizo nchi yetu matatizo
Kuwa nayo ni dili

Ova
 
Mbu wapo mto Msimbazi...kipindi nakaa kule chini Kinondoni Moscow!!! Acha kabisa....!!! Mbu anatoboa jeans akitafuta...damu ya mtu! Ukisema ujifunike gubigubi na blanketi zito joto balaa!!!
Kukaa kwako kote huko ulishawahi kuona watu wamekuja kupiga dawa huko kwenye msitu
I mean kufanya famigation

Ova
 
Kukaa kwako kote huko ulishawahi kuona watu wamekuja kupiga dawa huko kwenye msitu
I mean kufanya famigation

Ova
Aisee...kipindi chote nilichokaa maeneo hayo zaidi ya miaka minne sikuwahi kuona; ila kulikuwa na jamaa yangu alikuwa anakaa Mzambarauni, alikuwa na tenda ya kufanya hiyo fumigation...maeneo ya Kawe na Masaki! Hata hivyo, sikuwahi kudhibitisha kama kweli alikuwa na tenda hiyo ama zilikuwa swagga zake!! Ila mashine ya kupuliza niliiona!!!
 
Aisee...kipindi chote nilichokaa maeneo hayo zaidi ya miaka minne sikuwahi kuona; ila kulikuwa na jamaa yangu alikuwa anakaa Mzambarauni, alikuwa na tenda ya kufanya hiyo fumigation...maeneo ya Kawe na Masaki! Hata hivyo, sikuwahi kudhibitisha kama kweli alikuwa na tenda hiyo ama zilikuwa swagga zake!! Ila mashine ya kupuliza niliiona!!!
Sasa famigation maeneo kama hayo inatakiwa ipulizwe kutoka juu .....
Hata mitaa ya leaders kuna mmbu balaa,ila the bottom line serikali zetu hawako serious kutokomeza hiili gonjwa na sababu inajulikana

Ova
 
Kwahiyo 1950’s huko Marekani mbu walikuwa wanatokea wapi?
Sibezi juhudi hizi, lakini kuhimiza matumizi ya chandarua pekee bila kumaliza kiini cha tatizo, Mbu, ni kuendelea kuwaneemesha wanaotengeneza dawa za kutibu ugonjwa wa malaria na kuifanya serikali ishindwe kutekeleze mipango ya maendeleo kwa ufanisi.
 
Sibezi juhudi hizi, lakini kuhimiza matumizi ya chandarua pekee bila kumaliza kiini cha tatizo, Mbu, ni kuendelea kuwaneemesha wanaotengeneza dawa za kutibu ugonjwa wa malaria na kuifanya serikali ishindwe kutekeleze mipango ya maendeleo kwa ufanisi.
Tanzania kwa sasa hakuna juhudi yyte inayofanyika
zaidi ya kutuuzia madawa ya malaria
Kwanza wataalam maprofesa,madokta sahv wengi wanaingia kwenye siasa...
Mtaalam pekee mtanzania prof kilama,miaka ya 80 alikuwa anafanya sana research kuhusu malaria hadi kuandaa mkutano mkubwa wa mambo ya malaria tanzania arusha ambapo haikutokea tena,,huyo ndy alikuwa na nia na Dhati ya kuuteketeza
Zaidi ya hapo acha Tuendeleee kutumia madawa tunayoletewa

Ova
 
Tanzania kwa sasa hakuna juhudi yyte inayofanyika
zaidi ya kutuuzia madawa ya malaria
Kwanza wataalam maprofesa,madokta sahv wengi wanaingia kwenye siasa...
Mtaalam pekee mtanzania prof kilama,miaka ya 80 alikuwa anafanya sana research kuhusu malaria hadi kuandaa mkutano mkubwa wa mambo ya malaria tanzania arusha ambapo haikutokea tena,,huyo ndy alikuwa na nia na Dhati ya kuuteketeza
Zaidi ya hapo acha Tuendeleee kutumia madawa tunayoletewa

Ova
Nadhani waziri wa afya aanzishe mpango kababmbe wa kutokomeza mbu nchini, ikibidi hata kwa DDT
 
Back
Top Bottom