Uhuru n Umoja
JF-Expert Member
- May 25, 2016
- 1,160
- 2,226
Malaria ni tropical disease.
Dah humu kuna watu weupe sana kichwani.
Swaziland, Lesotho ni nchi maskini kupindukia na hakuna maralia. Nchi nyingi za africa zilizo upande wa ikweta ndio zenye tatizo hili la maralia. Nliishi Amani Tanga, sikuwahi ona watu wakiumwa maralia. Ingawa tulikua twaishi karibu na msitu mkubwa na tukilala bila chandarua wala kua na dawa ya mmbu.
hakukua na mmbu kwakua ni baridi throughout the year.
same mataifa ya kusini mwa Africa, na mataifa ya north Africa ambayo huko mpaka snow inaanguka.