- Thread starter
- #41
mmh anakazia tena kama kaiweka vileKuna aliyeniambia ni haki yake kuniomba pesa alafu ndio kwanza tuna 1 month tena anakazia.
mmh anakazia tena kama kaiweka vileKuna aliyeniambia ni haki yake kuniomba pesa alafu ndio kwanza tuna 1 month tena anakazia.
hapo shida sio pesa issue ni haka katabia nowdays kamekuw common sanTafuta pesa
Kama inakupa furaha endelea ila wake za watu wataondoka na malinda yakohapo shida sio pesa issue ni haka katabia nowdays kamekuw common san
hyo c case main point ni behaviour iliyojengekaTafuta pesa
uko vzurMwanamke atakuwa na mapenzi yasiyokuwa na garama na wewe iwapo ana uhakika wa ndoa;ila kama ni kwa ajili ya kupoza injini tu.lazima ugaramike
JIONGEZE DOGOukiombwa pesa toa sisi tuna tafuta kwa ajili yao papuchi haina kiwango cha pesa