wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 554
Imefikia hata kuwashambulia polisi mmejenga tabia ya mara kwa mara kugombana na polisi kuwatuhumu mnajenga tabia gani au ndio maelekezo ya wafadhili wenu au ndani ya chama kuna watu wana makosa yao ambayo wamawaunganisha na wadau kuwachukia polisi.
Kumbukeni hilo ni jeshi la usalama wa watanzania wote
Kumbukeni hilo ni jeshi la usalama wa watanzania wote