Sumu ya nyigu
Member
- May 18, 2019
- 57
- 110
Kama vile wahenga wasemavyo:
"kuuliza sio ujinga"
nami Leo naomba kuuliza; Hivi ni kwa nini serikali ya CCM inataka kuua vyama vya upinzani Tanzania? Wana'invest nguvu nyingi Sana!
Plan yao ni ipi haswa? Is anything behind this?
"kuuliza sio ujinga"
nami Leo naomba kuuliza; Hivi ni kwa nini serikali ya CCM inataka kuua vyama vya upinzani Tanzania? Wana'invest nguvu nyingi Sana!
Plan yao ni ipi haswa? Is anything behind this?