alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Jamani,nawaza tu!
Hali itakuwaje km Simba na kwa maandalizi,mbwembwe na kujiamini kwao huko endapo hawatakuwa mabingwa tena msimu huu!
Kisha Yanga pia kwa mara nyingine tena itakuwaje km watachukua ubingwa tena.
Msimbazi kutakalika kweli?!Je,mzungu wao yule mpayukaji atapona na mashabiki kweli?!
Naomba unisaidie kujiuliza kwamba itakuwaje!
Hali itakuwaje km Simba na kwa maandalizi,mbwembwe na kujiamini kwao huko endapo hawatakuwa mabingwa tena msimu huu!
Kisha Yanga pia kwa mara nyingine tena itakuwaje km watachukua ubingwa tena.
Msimbazi kutakalika kweli?!Je,mzungu wao yule mpayukaji atapona na mashabiki kweli?!
Naomba unisaidie kujiuliza kwamba itakuwaje!