PgSoft2008
JF-Expert Member
- May 15, 2008
- 264
- 73
Wapendwa,
Kufuatia shughuri zangu sasa niko Iringa na ninakaa mitaa furahi maeneo ya Wilolesi. Ni zaidi ya Wiki tatu sasa tangu lundo la kufusi kumwagwa katika barabara ya mtaa wetu kwa kisingizio cha mwenge na kutuzuia kabisa kufika nyumbani kwetu. tunalazimika kulaza magari mbali sana na kulipia gharama za ziada wakati tuna walinzi nyumbani na parking ya kutosha.
kwa jinsi kifusi kilivyomwagwa completely huwezi pitisha gari wala pikipiki nitaweka picha, mbaya zaidi hata upitaji kwa miguu pia ni mgumu na hakuna dalili ya kusambazwa leo wala kesho. watendaji wa mtaa wala hawana mpango wa kutoa taarifa na kwa nini wanakiacha hicho kifusi mpaka leo.
SIJUI KWA SABABU HUKU NI KIJIJINI.
nisaidieni kuwaambia wahusika wakumbuke labda hawajui kama ni kero.
Kufuatia shughuri zangu sasa niko Iringa na ninakaa mitaa furahi maeneo ya Wilolesi. Ni zaidi ya Wiki tatu sasa tangu lundo la kufusi kumwagwa katika barabara ya mtaa wetu kwa kisingizio cha mwenge na kutuzuia kabisa kufika nyumbani kwetu. tunalazimika kulaza magari mbali sana na kulipia gharama za ziada wakati tuna walinzi nyumbani na parking ya kutosha.
kwa jinsi kifusi kilivyomwagwa completely huwezi pitisha gari wala pikipiki nitaweka picha, mbaya zaidi hata upitaji kwa miguu pia ni mgumu na hakuna dalili ya kusambazwa leo wala kesho. watendaji wa mtaa wala hawana mpango wa kutoa taarifa na kwa nini wanakiacha hicho kifusi mpaka leo.
SIJUI KWA SABABU HUKU NI KIJIJINI.
nisaidieni kuwaambia wahusika wakumbuke labda hawajui kama ni kero.