Hivi ndivyo viwango standard vya mlevi

Hivi ndivyo viwango standard vya mlevi

Huyu ndio mlevi

1:Akipata kazi ANALEWA

2:Akifukuzwa kazi ANALEWA

3:Akioa ANALEWA

4:Akiachika ANALEWA

5:Akifurahi ANALEWA

6:Akichukia ANALEWA

7:Akipandishwa cheo ANALEWA

8:Akishushwa cheo ANALEWA

9:Akijenga nyumba ANALEWA

10:Akinunua gari ANALEWA

11:Akipata ajali ANALEWA

12:Akipata mtoto ANALEWA

13:Akifiwa ANALEWA

14:Akisifiwa ANALEWA

15:Akikosolewa ANALEWA

16:Akishiba ANALEWA

17:Akiwa na njaa ANALEWA

18:Timu yake ikishinda ANALEWA

19:Timu yake ikishindwa ANALEWA

LABDA AFE NDIO HATALEWA
Na tumeambiwa Mbinguni hakuna Pombe
Kwani tuna ugomv mkuu...mbna unaniadhiri hv!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom