Hivi Ndivyo Unavyoweza Kutajirika Kwa Kuanza Na Shilingi Elfu Moja

Kusoma vitabu 500 eti ili utajirike ni kujitafutia uchizi.Hawa matajiri tulionao wengi hawajasoma vitabu ata 20.Wengine hawajasoma kabisa.

Hiyo kuweka 1000 pia kwa miaka 30 ni ngumu haiwezekani hakuna mtanzania anaweza.

Hiyo ya vitabu 500 pia ni ngumu.unacomplicate maisha.

Ni vizuri mtu akasoma vitabu vichache vinavyoweza kumsaidia kulingana na fani yake au shuguli yake.

Pia kuweka Akiba ni muhimu lakin sio kwa njia ya Kusadikika yani elfu moja kwa miaka 30

Hii ni ngumu mzeee

mkuu MONEYstunna ni wewe au kuna mtu ka hack account yako?? Maana kwa jinsi ninavyokujua cyo mtu Wa kutoa hoja nyepesi km hii, we umekuwa mtu Wa mfano humu linapokuja suala la ujasiriamali kwny hili jukwaa, na msamiati ambayo ni chukizo kwa wajasiriamali ni neno"HAIWEZEKANI" mi binafsi nimeona hakuna lisilowezekana Kati aliyosema mleta mada. Ni maamuz tu km utaamua serious lkn "INAWEZEKANA"
 
Last edited by a moderator:
mkuu MONEYstunna ni wewe au kuna mtu ka hack account yako?? Maana kwa jinsi ninavyokujua cyo mtu Wa kutoa hoja nyepesi km hii, we umekuwa mtu Wa mfano humu linapokuja suala la ujasiriamali kwny hili jukwaa, na msamiati ambayo ni chukizo kwa wajasiriamali ni neno"HAIWEZEKANI" mi binafsi nimeona hakuna lisilowezekana Kati aliyosema mleta mada. Ni maamuz tu km utaamua serious lkn "INAWEZEKANA"

ni mimi narudia tena kusoma vitabu 500 na kuweka 1,000 kwa miaka 30 ni ngumu.

Najua ni muhimu kuweka Akiba lakin ni rahis kuweka akiba lakin kwa zaidi ya hiyo pesa na siyo kwa miaka 30 lazima utaitumia kwa maisha haya ya Tanzania.

Maisha ya Tanzania matatizo kila siku uwezi kuweka 1,000 kwa miaka 30.

Na kusoma vitabu 500 ni ngumu.Soma vitabu vichache kulingana na fani yako au shuguli zako ili vikusaidie.Kusoma vitabu 500 ni mwanzo wa kudata
 
Last edited by a moderator:
Nadhani kuweka 1000 kwa muda fulani na kusoma vitabu 500 mtoa mada kachukulia kama mfano tu. Funzo kuu ni 'tuwe tunajiwekea akiba katika sehemu salama na zinazozalisha. Pia tuwe na kiu ya kutafuta elimu au knowledge kila siku.

Uko sahihi mkuu
 
Mtoa maaada hi umechukua article ukaibandika bila kuangalia uhalisia wa maisha ya kila siku ya mtanzania. Umeweka all other factors constant kuweza kuweka hiyo elfu moja kila siku.

Kuliko uweke uweke 1000 kwa miaka 30 afu uje uiingize kwenye biashara zenye risk kibao za kuweza kuipoteza hela yako yote at the age oge of 50+ kwa nn usiiweke kwa miezi 6 ifike 180,000 au kwa mwaka mmoja ikawa 360,000 ukaenda kulima hata heka moja ya mazao ya chakula. Ikakuingizia 1mil+ next year ukawa na uwezo wa kumima mara tatu ya last year, mwaka wa tatu unakuwa na uwezo mara 9 mwaka wa nne unakuwa na uwezo mara 27 hapo hata kushuka kwa dhamani kwa shillingi unaenda nako sambamba,
Ukipata 70mil baaada ya miaka 30 si kitu kwa maaana uwezo wake wa manunuzi vitu sokoni utakuwa mdogo sana, miaka 14 nyuma mfuko wa cementhaukuwa unazidi 5000 sasa hivi almost 15000 miaka 16mbele kufikisha 30yrs yako hiyo cement inaweza kufika 40,oooo ongezeko la 800% hiyo 70mil itapungua uwezo wa manunuzi kwa 800% itakuwa olmost sawa na mil8 hivi,
Mi nashauri watu wawekeze badala ya kuweka akiba. Otherwise mtoa mada tupo pamoja
 
Mtoa maaada hi umechukua article ukaibandika bila kuangalia uhalisia wa maisha ya kila siku ya mtanzania. Umeweka all other factors constant kuweza kuweka hiyo elfu moja kila siku.

Kuliko uweke uweke 1000 kwa miaka 30 afu uje uiingize kwenye biashara zenye risk kibao za kuweza kuipoteza hela yako yote at the age oge of 50+ kwa nn usiiweke kwa miezi 6 ifike 180,000 au kwa mwaka mmoja ikawa 360,000 ukaenda kulima hata heka moja ya mazao ya chakula. Ikakuingizia 1mil+ next year ukawa na uwezo wa kumima mara tatu ya last year, mwaka wa tatu unakuwa na uwezo mara 9 mwaka wa nne unakuwa na uwezo mara 27 hapo hata kushuka kwa dhamani kwa shillingi unaenda nako sambamba,
Ukipata 70mil baaada ya miaka 30 si kitu kwa maaana uwezo wake wa manunuzi vitu sokoni utakuwa mdogo sana, miaka 14 nyuma mfuko wa cementhaukuwa unazidi 5000 sasa hivi almost 15000 miaka 16mbele kufikisha 30yrs yako hiyo cement inaweza kufika 40,oooo ongezeko la 800% hiyo 70mil itapungua uwezo wa manunuzi kwa 800% itakuwa olmost sawa na mil8 hivi,
Mi nashauri watu wawekeze badala ya kuweka akiba. Otherwise mtoa mada tupo pamoja

Asante kwa mchango mzuri mkuu. Sijasema watu waweke akiba bali wawekeze. Kwa takwimu za kiuchumi, biasharta inaleta return ya 20% kwa mwaka, hisa 15-20% mutual funds 10% bank savings <3% kwa mwaka. Hivyo kuweka kwenye mutual fund kama utt huweki akiba ila unawekeza.
Halafu miaka 30 nimeweka tu kwenye mahesabu ila mwanzo kabisa nimesema mtu aweke miaka mitano kisha awebamepata mtaji wa kuingia kwenye biashara nyingine.
Asante pia umegusia kilimo ila na wewe imeweka other factors constant. Kuna watu wanalima na wanapata hasara kubwa sana hasa kwenye kutegemea mvua au soko kuchafuka wakati wa mavuno. Hivyo hakuna kilicho bora zaidi ya kingine ni kuangalia wapi mtu unaweza kukomaa licha ya kushindwa hapa na pale.
TUKO PAMOJA.
 
Kila kitu kinawezekana, ni maamuzi tuu kulingana na mtazamo wako.. Na Hakuna kitu chepesi(kirahisi) cha kufanya ili kutajirika katika dunia hii, kila kitu ni kigumu. Kichwa ni chako kusuka au kunyoa ni juu yako, Nashukuru mtoa mada kwa somo zuri. Kip t up.
 
Hapana miaka 30 ni mingi mno. Ungetuambia maswala ya kuweka akiba tu na kuwekeza kwenye mambo mengine kama ufugaji, ukulima na biashara ndogo ndogo..
 
hee iyo ni ngumu sana utajiri ni kujituma utakavyo sio mkusoma vitabu 500 mda wa kusoma ivo vitabu mkubwa kuliko wa kutafuta hela
 
Tatizo la watafiti wetu ni kurahisisha mambo. Theory za wazungu zinaingizwa kwenye maisha ya Mndengeleko wa Mbagala, haita msaidia. Believe me.... ukimuona mtu ana salio benk analivumilia kwa miaka 30 huyo ni tajiri. Leteni mada za kumkomboa asiye na mtaji kabisa sio aliye bakiza elfu 30 kila mwezi.
 
Asante mkuu kwa ushauri mzuri. Nadhani spirit ya kujiwekea akiba ni jambo gumu kwetu mara nyingi. Iwe kwa biashara au kwa matumizi mengine; ni muhimu sana kujiwekea akiba kwa ajili ya kesho. Big up mkuu.
 
Kama unasema haiwezekani endelea kulalamikia maisha halafu baadae utatuambia kulalamika kwako kumekusaidia nini.
Miaka 20 au 30 nimetumia tu kuonesha ukuaji, target kubwa ni miaka mitano au kumi ambapo mabadiliko ya fedha yanakuwa sio makubwa sana na unaweza kuendelea kujifunza kuhusiana na biashara husika.
Milioni kumi ya mwaka 2009 na milioni kumi ya leo ina tofauti gani kwenye kuanzisha biashara? Ipo lakini sio kubwa sana kiasi cha kukufanya ushindwe kuanza biashara.
Tatizo kubwa la watanzania ni kutokujifunza na kuishi kwa mazoea tu na mwisowe kusema kitu hakiwezekani kwa sababu wewe hujawahi kufanya au hujawahi kumuona mtu anafanya.
Kwa miaka mitatu iliyopita nimesoma vitabu karibu mia tatu, sasa unasema kwa kujiamini kabisa kwamba miatano haviwezekani?
Nakuambia uweke elfu moja pembeni, elfu moja ambayo ungekunywa soda isiyo na maana kwenye maisha yako au kutumia hovyo tu na baada ya muda itakua na kufikia kiwango kikubwa kidogo, unasema pia haiwezekani?
Naweza kukuambia neno moja tu, KAFE MASIKINI.

Hebu nifafanulie vizuri Makirita Amani kuhusu hivyo vitabu 500 maana jinsi ulivyovitaja ni kama viko supposed kuwa na nguvu ya ziada. Lazima viwe 500? Vinahusu nini hadi usome vitabu 500?

Kuhusu suala la muda, nadhani si lazima kusubiri miaka 10, 20 au 30. Hata malengo ya miaka mitano mtu anaweza kuanzisha biashara kulingana na mipango yake na hapo hapo akaendelea kuwekeza kwenye huo mfuko. Ila hebu nifafanulie suala la vitabu maana silielewi.

Ila hapo mwishoni naomba pia nikupinge. Si kila mtu ambaye hatafuata mkondo huu atakufa maskini, maana kuna njia mbadala ambazo mtu anaweza kuzifuata na bado akatajirika kama malengo yake ya maisha ni kutajirika. Vile vile inapokuja kwenye suala la kufa, kufa maskini na kufa tajiri bado ni kufa tu. Kama una nia ya kushauri watu, huna sababu ya 'kuwalaani' wale ambao wanatilia mashaka mtizamo wako, as if kwa kukataa kwao kukubaliana na wewe unapata hasara fulani.
 
Hebu nifafanulie vizuri Makirita Amani kuhusu hivyo vitabu 500 maana jinsi ulivyovitaja ni kama viko supposed kuwa na nguvu ya ziada. Lazima viwe 500? Vinahusu nini hadi usome vitabu 500?

Kuhusu suala la muda, nadhani si lazima kusubiri miaka 10, 20 au 30. Hata malengo ya miaka mitano mtu anaweza kuanzisha biashara kulingana na mipango yake na hapo hapo akaendelea kuwekeza kwenye huo mfuko. Ila hebu nifafanulie suala la vitabu maana silielewi.

Ila hapo mwishoni naomba pia nikupinge. Si kila mtu ambaye hatafuata mkondo huu atakufa maskini, maana kuna njia mbadala ambazo mtu anaweza kuzifuata na bado akatajirika kama malengo yake ya maisha ni kutajirika. Vile vile inapokuja kwenye suala la kufa, kufa maskini na kufa tajiri bado ni kufa tu. Kama una nia ya kushauri watu, huna sababu ya 'kuwalaani' wale ambao wanatilia mashaka mtizamo wako, as if kwa kukataa kwao kukubaliana na wewe unapata hasara fulani.

Kuhusu vitabu ndio soma vingi uwezavyo, 500 na kuendelea.
Vitabu vya aina gani ni vya field ambayo unataka kuwa bora, kama ni biashara soma vitabu vingi sana kuhusu biashara, kama uwekezaji hivyo hivyo. Lengo hasa ni ujue kile unachokifanya kwa kiwango cha juu sana na hii itakupa options nyingi za kufanya na hata kupambana na changamoto.
Tatizo kubwa la watanzania ni kutokupenda kuumiza akili zetu hivyo kufanya mambo kwa mazoea au kwa kuiga. Ndio maana mtu akiambiwa biashara fulani inalipa anakimbilia kuifanya, kesho na keshokutwa anainhia kwenye hasara.
Kwa hiyo vitabu 500 ni mwanzo tu na unavisoma ndani ya miaka mitano hivyo kwa mwaka unasoma vitabu 100 na kwa wiki unasoma vitabu 2.
Ni kitu ambacho kinawezekana kama mtu unaamua na unajituma.
 
Tatizo la watafiti wetu ni kurahisisha mambo. Theory za wazungu zinaingizwa kwenye maisha ya Mndengeleko wa Mbagala, haita msaidia. Believe me.... ukimuona mtu ana salio benk analivumilia kwa miaka 30 huyo ni tajiri. Leteni mada za kumkomboa asiye na mtaji kabisa sio aliye bakiza elfu 30 kila mwezi.

Kuhusu miaka mbona hapo nimezungumzia miaka 5 , 10, 20 na 30? Mbona mnakimbilia kupinga miaka 30? Mbona hujazungumzia hapo niliposema miaka mitano unaweza kupata kiasi cha kufanya biashara?
Ama kweli ukishakuwa negative you are doomed forever to fail.
And i don't have to believe you kwa sababu unajadili kwa negative perspective, nani kasema uweke hela benk miaka 30?
Unapenda mada za kukukomboa usiye na mtaji, ndio hii, kama huiwezi hutapata mtaji ndugu yangu. Ili upate mtaji wa biashara lazima uoneshe biashara uliyofanya na unahitaji kukua zaidi. Hakuna taasisi itakayokupa mtaje uende ukaanze biashara, sahau hiko kitu. Labda utumie mali kama dhamana na ni kama unazo sasa.
Mkuu sana ndugu yangu ondoa mtizamo hasi ulionao na anza kuweka buku buku leo na mwaka 2019 utakuwa na milioni tatu, ambayo unaweza kuanzia biashara na ukapigwa tafu ya mkopo kuanzia hapo.
 
Wangapi wako tayari kusoma vitabu 500 na kuweka sh 1000 kwa miaka 30?

Mkuu bado upo si umesema haiwezekani? Mbona unaweweseka? Mpaka sasa tupo watu karibu mia ambao tunasoma vitabu 500, viwili vimeshaanguka, wiki hii tunakwenda cha tatu na cha nne. Tunafanya mijadala mizuri sana kwenye vitabu hivi na inabaki mtu kuchukua hatua.
Wewe umesema haiwezekani, halafu bado una kihere here cha kutaka kujua nani anaweza au yuko tayari, huoni kwamba hujiamini? Yaani kama wakisema wengi wako tayari na wewe utajiunga nao?
Kumbuka; A MAN WHO SAY IT CAN NOT BE DONE SHOULD NOT INTERFERE THOSE WHO ARE DOING.
 
hee iyo ni ngumu sana utajiri ni kujituma utakavyo sio mkusoma vitabu 500 mda wa kusoma ivo vitabu mkubwa kuliko wa kutafuta hela

Huna muda, okey nijiby swali hili.
Una masaa 24 kwa siku.
Unalala masaa 8
Unafanya kazi masaa 8 au tuweke 12 kwa sababu una hasira sana yankusaka hela.
Kula, kupumzika masaa 2
Unabaki na masaa 2 kwa siku, huwa unayafanyia nini?
Nasubiri jibu lako mkuu, nitakupa mpango mzuri sana ambao utabadili maisha yako.
 
Back
Top Bottom