...hivi ndivyo prof. Tibaijuka atakavyoangushwa 2015 pale Muleba



Hizi pumba.
 
hizi pia naziona kama siasa za kuchafuana zisizo na maana yoyote. Magamba haooo
 


Chuki humzuia mtu kusema ukweli ila kutunga majungu na kupayuka kama juha. Je, mradi wa maji hunawanufaisha nani kama si Wanamuleba? Je, kabla ya hapo Wanamuleba walikuwa na maji ya kutosha. Je, misaada ya maafa iliwasadia akina nani? Je, kosa ni kuwahamasisha wananchi kupanda miti? Hii inaonyesha kuwa upeo wako ni mfupi kama pua yako. Uongozi ni kuonyesha njia na vitendo, je, mipango ya kuendeleza shule za kata anayoifanya, kupambana na ugonjwa wa mnyauko ndio kutokufanya kitu. Kupigania umeme kusambazwa vijijini Muleba ndio kutokufanya kitu? Nenda kapige mswaki na usafishe kinywa chako kabla ya kusema majungu na chuki zako.

Kama una tofauti zako za kisiasa hiyo ni haki yako lakini huna haki ya kueneza chuki zinazotokana na uongo. Ushindwe!
 

huna hoja zaidi badala yakuelezea reality zaidi unaelezea hisia....hivi wew unafurahi kuletewa maji kwa fedha za dhuluma hata hivyo mabomba mengi hayatoi maji kule muleba....yeye aliahidi kuifanya muleba kama ulaya kwa kutumia marafiki zake wa nje huoni kama ni udhaifu huu...sasa wako wapi hao marafiki zake katika suala hili la kupanda miti....tofauti na alivyodai anamarafiki nje kumbe anategemea nguvu za wananchi...huoni ufisadi anaoufanya katika shule ya babro johnson kwa watoto yatima...hata uonyeshe upendo gani kwa huyu mama bado huwezi kueleweka...nakushauri nenda kamwambia huyu bibi yako asigombee tena 2015 maana ataabika kwani kwa wanamuleba kumchagua tena huyu ni sawa na kufuta sifuri na kuandika zero...
 
yaani wabongo bwana, kwahiyo mnataka wazungu ndio waje kuwapandia iyo miti???? kweli sikio la kufa......
Hata washuke malaika kutoka mbinguni kuja kututawala, kamwe kwa mawazo haya hatuwezi kuiendelea.
 

wivu na majungu. Mwaka mmoja afanye nini? Mmesahau mama wa watu alichakachua hata mradi wa nyumba bora wa UNHABITAT akawaletea huko badala ya kupeleka hata Dodoma au umasaini ambako watu bado hawana nyumba nzuri? Hebu muacheni mama wa watu achape kazi. Ni mchapa kazi mzuri na ni mwaminifu. Nyie mmetumwa na wale wahindi aliowanyang'anya viwanja vya wazi naona.
 

Any proof?
 



Dua la kuku halimpati mwewe. Nenda kapambane nae na useme chuki zako zote mpaka koo likukauke na urudi kwenu na aibu.
 
But hey, she's extremely intelligent.

Mvinyo mpya ndani ya buyu la zamani. Huyu mama ni mpambanaji, lakini mahali alipo si pake. Ikumbukwe alipotaka kuanzisha BAWATA na jinsi serikali ilivyoifuta. She is a hard worker, but she belongs to wrong party.
 
Tuwe wazi na kama mtu unajua kuangalia,huyu mama sio mwanasiasa..anapaswa kukaa ofisini,uwa namtazama akiwa anajibu hoja au kutoa hoja bungeni,ni mdhaifu kwenye kujieleza.Na kama anakosa ujasiri vile.Mimi sitashangaa kama akipoteza jimbo hilo 2015,na kwa kweli nitashangaa kama 2015 ataendelea kuwa mbunge.
 
Mimi ni kijana ninayetoka Muleba na ninatarajia kuomba ridhaa ya wananchi kuingia bungeni kupitia CHADEMA ambacho mimi ni mwanachama wake.

Muda ukifika naomba kampani ya kutosha
 
owo olwango ati: KABILIME TABILYE.......
abahaya tulekele olwango,Mama Tibaijuka angekuwa mchaga ungeona jinsi jamii yake ambavyo inge rally behind her maana wanajua value ya 'power'.Sisi wahaya full mtimanyongo,haya tunayomfanyia huyu mama ndo tulimfanyia Dio Kamala,tukamfanyia Mzee Rwegasira , tukamfanyia Masilingi and so on,ilitusaidia nini?Tubadilike,mwenzetu akipata mamlaka tumpige tafu,eventually it will be for the good of our community.Angalia warombo walivyomtumia Mramba,angalia wauru wanavyomtumia Chami ,angalia wapare walivyomtumi Mzee Msuya,sisi tunakalia inda na roho ya kauzibe,mlayemanya,nyie endeleeni tu kumpiga madongo mama wa watu apoteze kiti cha ubunge na uwaziri na hapo sijui wilaya ya muleba na mkoa wa kagera utakuwa umefaidi nini? wahaya bana,wamenizaa lakini mmmhhhh!!!!!olwango!!!!
 

Bishanga,
You Hayaz are my Uncles. I used to feel proud of you but of recent I cann't feel so anymore. What a shame to despise patriots fighting to uplift and facelift their natives? At my age I have never seen that happening neither to Chaggaz nor to Nyakyusa.

Look, after independence you used to ride us in every sector being education, politics, finance, social, law, medicines, mention all you know. But now chaggaz are now ahead of you in almost all areas twice as much. Dont you find a lesson to learn from them? Hatred hearts won't take any step forward. Try to go back to your development routes. Honour your sons and daughters. Support them morally and materially. Can you give me the reason why in 90% of the urban councils finding a chagga councilor is a common norm but not other tribes? Do you know that chaggaz have been the dominant tribe in our parliaments more than others? Have ever discovered how they become as one irrespective of their constituencies (Kawe, Viti Maalumu, Moshi mjini, Iringa, Ubungo, etc) and partiess' ideologies (CCM, CDM, etc) when it touches Moshi and Kilimanjaro interests?
 
we acha tu,nashukuru wahaya wamenizaa wakanilea lakini kuna tabia zetu (hasa wivu wa kijinga) kweli zinatia kichefuchefu,yaani hatupendi mwenzetu atutangulie na kutuonyesha njia,ukipanda ngazi tu they try to drag you down,wahaya tuache hizo,shame on us!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…