KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 35,801
- 86,573
Kwangu binadamu ni kama kitabu!,kitabu kilichosheheni mafungo na vifundo.
ukiwa mtoto mchanga kila unachokiona unakishangaa huku ukinakili kwenye akili,kuna upande vizuri kuna upande vibaya.
Tunajikuta tunaingia migogoro na watu kwasababu wengine hutembea na hulka zao pasipo kujing'amua au wewe unaekaanae kumng'amua.
mwanadamu ni kitabu,unaweza kukisoma na kunakili na ukazitumia taarifa hizo kujifunza au kujiharibu kama sio kumharibu yeye.
leo kuna watu wanaiga kitu fulani kwa fulani nikwasababu mwanadamu ni kitabu kinachosomeka.
ili kuishi na mtu vizuri ni lzm umsome kisha utoke na majibu ya huyu utaendananae vipi.. kuna watu wataendelea kukutia hasara kwasababu hujajuwa uendenao vipi,kuna watu watakuliza kila leo kwasababu wananafasi ya kufanya hivyo na umewaruhusu.
cha muhimu ni kumsoma mtu na utoke na majibu stahiki..
"mtu ukimjua kitabia atapiga kila seleka lkn kukuepuka ataweza kwa asilimia 0.005!"
ni kama mvua dawa yake ni kujikinga.
leo hii kuna teknolojia zinaletwa kwa kumsoma binadamu.
ukiwa mtoto mchanga kila unachokiona unakishangaa huku ukinakili kwenye akili,kuna upande vizuri kuna upande vibaya.
Tunajikuta tunaingia migogoro na watu kwasababu wengine hutembea na hulka zao pasipo kujing'amua au wewe unaekaanae kumng'amua.
mwanadamu ni kitabu,unaweza kukisoma na kunakili na ukazitumia taarifa hizo kujifunza au kujiharibu kama sio kumharibu yeye.
leo kuna watu wanaiga kitu fulani kwa fulani nikwasababu mwanadamu ni kitabu kinachosomeka.
ili kuishi na mtu vizuri ni lzm umsome kisha utoke na majibu ya huyu utaendananae vipi.. kuna watu wataendelea kukutia hasara kwasababu hujajuwa uendenao vipi,kuna watu watakuliza kila leo kwasababu wananafasi ya kufanya hivyo na umewaruhusu.
cha muhimu ni kumsoma mtu na utoke na majibu stahiki..
"mtu ukimjua kitabia atapiga kila seleka lkn kukuepuka ataweza kwa asilimia 0.005!"
ni kama mvua dawa yake ni kujikinga.
leo hii kuna teknolojia zinaletwa kwa kumsoma binadamu.