Somebody about to fire his car huku manzee RRONDO mshauri mwanetu Holy Man awe makini na hii mambo ya DiagnosisHii ni Audi A3 2.0 TSI Hatchback ya mwaka 2010. Nimeifanyia Diagnosis kama kawaida ina error codes kibao (Zaidi ya Faults 50).
Sasa katika kwenda kutest waya za mojawapo ya sensor ambayo ilionesha ina shoti, Pembeni kidogo ya battery si nikakuta moshi unafuka. Halafu lile eneo la fusi box nikakuta ni la moto balaa.
Anyway nmefungua mfuniko wa fuse box ndio nakutana na kitu hiki hapa chini.
View attachment 1929415
Ikabidi nizime gari then nifanye mpango wa kuchomoa hivyo vibati vilivyobakia hapo maana lile plastic lote la fuse limeshayeyuka na limeanza na kuyeyusha sehemu ya fuse box.
Nikakutana na kitu hiki
View attachment 1929416
Aiseee ukitazama vizuri hicho kibati kina nyaya nyaya ambazo zimewekwa na mafundi.
Kama kawaida mtu aliona fuse imeungua akaamua kunjunga na mayokeo yake waya umepata current kubwa then moto umeanza. Gari nyingi fuse zake zimezungushwa waya kama ilivyofanywa hii.
Other pictures
View attachment 1929419
View attachment 1929420
View attachment 1929422
View attachment 1929426
Kama kawaida naendelea kusisitiza. Gari za ulaya siyo za kununua kama unanunua nyanya.
Rejea
Thread 'Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa' Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa
Sasa hebu angalia faults za hii ya leo.
View attachment 1929434
View attachment 1929435
View attachment 1929437
View attachment 1929438
Pia hizi siyo gari za kuendesha tu ilimradi unaona inatembea. Check up inamatter sana. Otherwise siku ukija kupima ndio utatajiwa matatizo mpaka kichwa kikuume.
Kama una tatizo na gari yako au unahitaji Diagnosis nicheck.
Iwe gari yoyote ndogo ya Ulaya, Asia au Marekani tunapima na kusolve.
Nipo Dar.
0621 221 606.
Gari zangu huwa napeleka kwa JituMirabaMinne kufanyiwa uchunguzi.. ninapo ona wakati umefika anajua anacho fanya
Hahahahahahah ni mambo ya uhakika hamna ubabaishaji?Gari zangu huwa napeleka kwa JituMirabaMinne kufanyiwa uchunguzi.. ninapo ona wakati umefika anajua anacho fanya
Sipendi ubabaishaji kabisaaa. Na siku nikiona siwezi hudumia gari narudi kwenye daladalaHahahahahahah ni mambo ya uhakika hamna ubabaishaji?
Hahahahahah itifaki imezingatiwaπSipendi ubabaishaji kabisaaa. Na siku nikiona siwezi hudumia gari narudi kwenye daladala
Eeh.. maisha haya huitaji tumia maguvu mengiiiiii huku unatokwa kamasiHahahahahah itifaki imezingatiwaπ
Ni kukubali yaishe tu mzeeEeh.. maisha haya huitaji tumia maguvu mengiiiiii huku unatokwa kamasi
ASiekubali kushindwa ujue anatafuta aibuNi kukubali yaishe tu mzee
Hahahahah nimeinyaka hii, tusiige tembo tutapasuka! Jana kuna kijana alikuwa na 2.0T Quattro nacheza nae mandela road nikakuwaza sana mzee kumbe kunakuwaga na michezo ya hatari humu humu mjini! Inabidi tuchekiane badaeASiekubali kushindwa ujue anatafuta aibu
Ni kam kulazimisha penzi, utapewa ila kama umewekewa gogoπππ nipo nipo tuHahahahah nimeinyaka hii, tusiige tembo tutapasuka! Jana kuna kijana alikuwa na 2.0T Quattro nacheza nae mandela road nikakuwaza sana mzee kumbe kunakuwaga na michezo ya hatari humu humu mjini! Inabidi tuchekiane badae
Hahahahahah hapo kutatua matatizo yote hayo ni aheri ulipie mke mahari uoe π π π na harusi kabisa!
Tukiwaambia gari zetu wamatumbi ni Toyota wanajitia ujuaji! Hapo Service tu ya vifaa vyote cost yake ni bora kununua IST tu! Niliwahi ona BMW 3 series inauzwa juzi kati et 4.5m na gari ni DPT imenyookaπ sana nikajiuliza dah 4.5m for a Bmw kuna namna!
π π π π π π hizo fault 20 unaziangalia kwa wasiwasi eeh! Hata zingekuwa kila moja kuiondoa ni elfu 50 tu still kipengele kizitoUngelipia tu mpunga bila kujiuliza...
Unaachaje mambo mazuri kama hayo?πππ
Halafu uache kufananisha gari za Ulaya na mke...
Bora kuwa na gari la Ulaya linakupasua kichwa ndani kuliko kulipa mahari...
Hahahahaahaah mkuu wewe acha sema toyota wacha aendelee kupendwaa ...changamoto ya European car ukizoea huwez kutoka ..mama akifungua fweeezwaaa walahi country man inanihusu
Izo nimereplace juzi mkuu,,,izo fuse zilikuwa zimepigwa waya nyingi na kubwa balaa lkn nilikuwa nakula tu maisha na nimezibadili sio kwa sababu kulikuwa na tatizo kwa kweli wacha mjep awe mjep,,ila Nina swali mkuu naweza kufanya computer diagnosis kwenye starlet ep 82!?View attachment 1930296
Toyota never disappoints, usijaribu hili kwenye Merc, Beamer ama Audi! Utalia
yes mkuuSema at least now utakuwa na experience.
π π π π π π hizo fault 20 unaziangalia kwa wasiwasi eeh! Hata zingekuwa kila moja kuiondoa ni elfu 50 tu still kipengele kizito
Dah...we jamaa huna jema wala shukraniHii ndiyo point yako. Hizo zingine mbwembwe