Hivi ndivyo gari huwa zinawaka moto

Somebody about to fire his car huku manzee RRONDO mshauri mwanetu Holy Man awe makini na hii mambo ya Diagnosis
 
Hahahahah nimeinyaka hii, tusiige tembo tutapasuka! Jana kuna kijana alikuwa na 2.0T Quattro nacheza nae mandela road nikakuwaza sana mzee kumbe kunakuwaga na michezo ya hatari humu humu mjini! Inabidi tuchekiane badae
Ni kam kulazimisha penzi, utapewa ila kama umewekewa gogo😁😁😁 nipo nipo tu
 


Ungelipia tu mpunga bila kujiuliza...


Unaachaje mambo mazuri kama hayo?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Halafu uache kufananisha gari za Ulaya na mke...

Bora kuwa na gari la Ulaya linakupasua kichwa ndani kuliko kulipa mahari...
 
Ungelipia tu mpunga bila kujiuliza...


Unaachaje mambo mazuri kama hayo?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Halafu uache kufananisha gari za Ulaya na mke...

Bora kuwa na gari la Ulaya linakupasua kichwa ndani kuliko kulipa mahari...
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… hizo fault 20 unaziangalia kwa wasiwasi eeh! Hata zingekuwa kila moja kuiondoa ni elfu 50 tu still kipengele kizito
 
Hahahahaahaah mkuu wewe acha sema toyota wacha aendelee kupendwaa ...changamoto ya European car ukizoea huwez kutoka ..mama akifungua fweeezwaaa walahi country man inanihusu

Sema at least now utakuwa na experience.
 
Reactions: Lee

Aiseeee....

Lisipotokea tatizo lolote kwenye gari hizo fuse unaweza kuzitumia na waya hizo kwa muda mrefu. Ila siku ilitokea short circuit au current kubwa, moto unaanz.

Kwa starlet haiwezekani mkuu. Kidogo ni gari ya zamani.
 
Toyota never disappoints, usijaribu hili kwenye Merc, Beamer ama Audi! Utalia

Kwenye gari yoyote kunjunga waya hivyo siyo shida sana.

Ila siku short circuit ikitokea au current kuwa kubwa umeisha....

Ila katika hali ya kawaida hamna shida.

Sababu hata huyo jamaa hiyo fuse katembea nayo sana ikiwa hivyo...
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… hizo fault 20 unaziangalia kwa wasiwasi eeh! Hata zingekuwa kila moja kuiondoa ni elfu 50 tu still kipengele kizito

Hahahah... Shida ndio kama nilivosema hizo gari ukiendesha tu ilimradi inawaka na kutembea with time utalia kilio kikuu.

Tena Benz/BMW/Land Rover/Jeep/Ford zinaweza kukuvumilia.

Audi/VW japo spea ni cheap ukilinganisha na wengine ila matatizo huwa yanafululiza kama mwenye gari hajali...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…