MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,493
- 8,728
Hawa NEMC naona wanakomaa mno na mifuko ya plastiki, kwani mazingira nchi hii yanaharibiwa na mifuko ya plastiki pekee?
Vipi ukataji miti hovyo? Vipi yale Makundi ya mifugo yanayo hama hama?
Yaani sehmu ya wao kutokea ni kwenye Mifuko ya plastiki tu, kwingine hapana.
Vipi ukataji miti hovyo? Vipi yale Makundi ya mifugo yanayo hama hama?
Yaani sehmu ya wao kutokea ni kwenye Mifuko ya plastiki tu, kwingine hapana.