Amani Ndoroma
Member
- Aug 14, 2018
- 71
- 21
Nadhani wewe ndio unahitaji msaada, mleta mada mbona yupo wazi kwenye haja yake.!.Tukusaidieje?
kwani nimekuuliza wewe?mbona unadandia treni kwa mbeleNadhani wewe ndio unahitaji msaada, mleta mada mbona yupo wazi kwenye haja yake.!.
Sent using Samsung galaxy A9 ⑥
pamoja na utajiri wa Canada kuuzidi mno wa nchi yetu ,serikali yao ina mawaziri wasiozidi 20!!!what a shame kwetu ,na hatukawi kupeleka bakuli la kuomba misaada