Kwani unafanya kazi ili upewe tuzo?Unataka kufanya kazi sehem zenye utamu kwanini ..
Kwani unafanya kazi ili upate utamu?Kwani unafanya kazi ili upewe tuzo?
Mmh waliruhusu karibu kada zote kuapply sio ishu ya maslahiUkiona nyomi hivyo jua kuna kaneema huko.
Haihusiani na mkwanja jobless wengi na waliruhusu watu wa kada nyingi kuapplyNiliomba nafasi ya admission officer kupitia utumishi,naona wametoa majina leo,nyomi kama ile ya tra.nafasi mbili tu ila zinagombaniwa na watu 7,500.
Vipi napo kuna mkwanja wa kueleweka?