Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,549
Ni kwa muda mrefu sana nimekuwa nikijiuliza hivi mababu zetu waliokuwepo kabla ya dini zetu kuu yaani ukristo na uislamu haujaingia nchini wataenda mbinguni?
Maana kwa asilimia kubwa walikuwa wanafanya matendo ambayo dini zetu zinazuia mathalani...kutoa kafara kwa miungu, kuuana kwa kigezo cha mila na desturi nakadhalika.
Ukiangalia vigezo vingi vya mtu kuwa msafi wa kiimani mengi hawakuyafanya mababu zetu.
Kwa watu wanaojua vizuri mafundisho ya dini naombeni msaada katika hili maana mimi Nebuchadinezzer sina ujuzi katika hili.
ASANTENI.
Maana kwa asilimia kubwa walikuwa wanafanya matendo ambayo dini zetu zinazuia mathalani...kutoa kafara kwa miungu, kuuana kwa kigezo cha mila na desturi nakadhalika.
Ukiangalia vigezo vingi vya mtu kuwa msafi wa kiimani mengi hawakuyafanya mababu zetu.
Kwa watu wanaojua vizuri mafundisho ya dini naombeni msaada katika hili maana mimi Nebuchadinezzer sina ujuzi katika hili.
ASANTENI.