Hivi mwanaume unapata wapi ujasiri wa kuacha mwanamke?

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
Naomba kuuliza, mwanaume unatoa wapi ujasiri au unapata wapi ujasiri wa kuacha mwanamke?

Mwanaume kabisa unamtamkia mwanamke sikutaki au nimekuacha? Huo ni utaahira wa kiwango cha juu sana.

Kifungu cha 2(A) cha sheria za kibaharia ya mwaka 1884 na marekebisho yake ya mwaka 1950 scramble for partition of women inatamka wazi kabisa kua mwanaume hutakiwi kumuacha mwanamke, hata kama humpendi hutakiwi kumtamkia kua humtaki. Muache yeye mwenyewe aamue kama anaendelea na wewe au haendelei. Muweke lwenye coma siku ukijisikia unaenda kumuamsha na unapata starehe.

Ukiona mwanaume anamuacha mwanamke ni ukosefu wa kutomuzijua sheria za kibaharia. Hata makaloni hayajaacha nchi yalizotawala pamoja na kua ziko huru, bado yana-exercise significant influence kwenye hizo nchi.

Hutakiwi kumuacha mwanamke, mpe uhuru atakaohitaji ila endelea kumuweka kama koloni lako.

Huu ni ushauri wa bure kwa vijana na wanaume wenzangu. Tusivunje sheria zetu wenyewe tulizojiwekea.
 
Naomba kuuliza, mwanaume unatoa wapi ujasiri au unapata wapi ujasiri wa kuacha mwanamke?

Mwanaume kabisa unamtamkia mwanamke sikutaki au nimekuacha? Huo ni utaahira wa kiwango cha juu sana.

Kifungu cha 2(A) cha sheria za kibaharia ya mwaka 1884 na marekebisho yake ya mwaka 1950 scramble for partition of women inatamka wazi kabisa kua mwanaume hutakiwi kumuacha mwanamke, hata kama humpendi hutakiwi kumtamkia kua humtaki. Muache yeye mwenyewe aamue kama anaendelea na wewe au haendelei. Muweke lwenye coma siku ukijisikia unaenda kumuamsha na unapata starehe.

Ukiona mwanaume anamuacha mwanamke ni ukosefu wa kutomuzijua sheria za kibaharia. Hata makaloni hayajaacha nchi yalizotawala pamoja na kua ziko huru, bado yana-exercise significant influence kwenye hizo nchi.

Hutakiwi kumuacha mwanamke, mpe uhuru atakaohitaji ila endelea kumuweka kama koloni lako.

Huu ni ushauri wa bure kwa vijana na wanaume wenzangu. Tusivunje sheria zetu wenyewe tulizojiwekea.
Acha zinaa wewe, acha uasherati. Mrudie Mungu wako kwa maana hujui siku wala saa...
 
Naunga mkono hoja yaan katka kifungu hicho cha kibaharia kuna kitu kinaitwa "pending" yaan mda wowote una resume
 
Mawakili washapata Rais wao,so napendekeza kikao kijaxho tukusimike
 
Naomba kuuliza, mwanaume unatoa wapi ujasiri au unapata wapi ujasiri wa kuacha mwanamke?

Mwanaume kabisa unamtamkia mwanamke sikutaki au nimekuacha? Huo ni utaahira wa kiwango cha juu sana.

Kifungu cha 2(A) cha sheria za kibaharia ya mwaka 1884 na marekebisho yake ya mwaka 1950 scramble for partition of women inatamka wazi kabisa kua mwanaume hutakiwi kumuacha mwanamke, hata kama humpendi hutakiwi kumtamkia kua humtaki. Muache yeye mwenyewe aamue kama anaendelea na wewe au haendelei. Muweke lwenye coma siku ukijisikia unaenda kumuamsha na unapata starehe.

Ukiona mwanaume anamuacha mwanamke ni ukosefu wa kutomuzijua sheria za kibaharia. Hata makaloni hayajaacha nchi yalizotawala pamoja na kua ziko huru, bado yana-exercise significant influence kwenye hizo nchi.

Hutakiwi kumuacha mwanamke, mpe uhuru atakaohitaji ila endelea kumuweka kama koloni lako.

Huu ni ushauri wa bure kwa vijana na wanaume wenzangu. Tusivunje sheria zetu wenyewe tulizojiwekea.

Ukikuua utaelewa maisha yanavyoenda
 
Hahaha ila ni kweli, sijawahi kuachana na waliowahi kuwa girlfriends zangu lkn nipo single
 
Acha ujinga utakulaje matapishi yako?mwanamke ukimwacha acha aende zake mkuu maradhi ni mengi kuliko unavyofikiri.
 
Inategemea kama ulkua hujalala nae ukimurudia ndo atakusumbua zaidi na kukudharau
 
Umewahi kurogwa mkuu? Au Haoni tabu wala hasara kukuletea ukimwi uhangaike.
 
Back
Top Bottom