Nimekuta lidume lina mlilia mwanamke, tena ni hawala tu. Nimetafakari sana, Dume zima linatoka machozi na makamasi kedekede kisha kuambiwa "its over" du!
Hata huyo mwanamke atakudharau sana tu.
Kuna kitu kimepungua kwa wanaume siku hizi sio bure!
Hata huyo mwanamke atakudharau sana tu.
Kuna kitu kimepungua kwa wanaume siku hizi sio bure!