Kibongo bongo mwananchi ni mnyonge au mtawaliwa , hajihusishi na siasa directly au Hana kazi serikalini , makundi kama wakulima, wafugaji , mama ntiliie , boda boda , machinga , na watu waliojiajiri , wafanya biashara , haya ndo makundi yanayotafsriwa Kwa haraka haraka kama wananchi .... But in reality kila raia ni mwananchi..!!