Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,553
Sasa kama mtu hujui hata maana ya 'kukariri' halafu unajiona unajuua !
Kwa taarifa yako hata wanasheria wana kariri na mainjinia pia wana kariri ndo maana kuna formula.
Sasa kama mtu hujui hata maana ya 'kukariri' halafu unajiona unajuua !
Kwa taarifa yako hata wanasheria wana kariri na mainjinia pia wana kariri ndo maana kuna formula.
Na pia Mungu na Allah (sw) ni tofauti.
Tofauti ni kwamba Allah (sw) Hakuzaliwa wala Hakuzaa na wala Hana mtoto.
Lakin Mungu kuna watu wanasema ana mtoto. Wanasema eti Yesu ni Mwana wa Mungu.
Hiyo ndio Tofauti.
Kubishana na watu wa aina yako ni ngumu sana! Malengo yenu huwa yako mahsusi Allah sio Mungu.
Ww kama unabishana, bishana tu. Ila mm siko hapa kwa ajili ya ubishi, niko hapa kukwambia ukweli.
Eeeeh Mungu sio Allah (sw) maana Mungu ana Mtoto alafu Allah (sw) Hana mtoto. We huoni hiyo tofauti hapo ama ubishi ndio unapenda?
Ajabu mwana mingu kubatizwa na watu, sijui ili aweje !?
Biblia yoyote ya kiingereza utakuta Jesus ya kiswahili utakuta Yesu ya kinyakyusa utakuta Jesu. Niambie Qur'an tafsiri ya lugha gani ina jina Yesu ukikosa basi tambua Yesu na issa ni watu tofauti
Alikuwa mwebrania
Maelezo yangu yanabase katika Biblia ambayo Mungu anajitambulisha kwa jina la YAHWEH,au JEHOVA,.na sio Miungu wa vitabu vingine ambvyo Mimi havinihusu.
Hivi umenielewa lakin?
Kwahyo ww unaamini kuwa Issa Bin Maryam eti Ndio Yesu Mwana wa Mungu.!???
MSIPANIK JADILINI KWA USTARABU
.....sioni faida ya kuwa na elimu ya dini zaidi inakufanya mtumwa wa kifikra. (nimenukuu maandishi yako na kuyakariri)
Wanasheria wote Duniani wanakariri na Mainjinia wote wanakariri kanuni.
Wewe kukariri unakuchukuliaje !?
Haya ni maneno ya Yesu mwenyewe akiwaambia wana Israel:
'Hear o Israel, the lord our God is one Lord. Marko: 12:29.
'Shama Israelu, Adonai ila hayano, Adonai Ikhadi.
Qur'an inasema Yesu aliwaambia Wana Israel ' Rabikum wa Rabakum'
Bwana wangu ndiye Bwana wenu.
Hili la Yesu mungu, mwana wa mungu, utatu mtakatifu, sijui maria mama wa mungu, yametoka wapi ?
Hakuna mafundisho ya ukristo yanayodai Kuna Mungu watatu.Ila Mungu mmoja katika nafsi tatu.Binafsi sioni mkanganyiko kwenye Biblia.
Ndo maana hata kwa mjibu wa Biblia Mke na Mme ni mwili mmoja.Unaelewa nini juu ya neno umoja?
Unajua maana ya kafili au n ww umekalilishwa km wengine wanaoita wakristu makafili .Kifupi hapo unasema Nabii Ibrahim alizini ! Au umemuweka Nabii Musa kundi moja na akina Mwingira na Kakobe !?
Ni kafiri tu ndo anaweza kuropoka ropoka tu kama hivyo !
.....ujinga mwingi mnaupata kwenye Biblia.
.....ujinga mwingi mnaupata kwenye Biblia.
Makafiri ni wale wanae mwabudu aliyeumbwa na si aliye umba !Unajua maana ya kafili au n ww umekalilishwa km wengine wanaoita wakristu makafili .
Akili ndogo tu. Uana wa Yesu kwa Mungu ni upi??. Ni kutokana na kuzaliwa kwake au???Yesu ni mwana wa Mungu aliyekuja duniani kwa umbo la kibinadamu ili aukomboe ulimwengu.
Hiki ni kitabu kimeandikwa na 'mwandishi'
Uelewe ujinga upo wzpHiki ni kitabu kimeandikwa na 'mwandishi'
Kaandika kuswahili na kiarabu.
Shida yako ni nini ?
Ukiristo unasemaje ? Ule ujinga wa Paulo aliyewaambia msitahiriwe bado mnaendelea nao ?Soma
Uelewe ujinga upo wzp