Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,149
- 162,560
Hivi sisi kuwa nyuma karibu kwa kila kitu kulinganisha na watu wa mabara mengine, kumetokea hivi hivi tu pasipo kuwa na sababu?
Je, si kweli sisi watu weusi our main problem has got something to do with nature that is responsible for our existence?
Kwanini hata rangi yetu ya ngozi sisi wenyewe tunaiona haitufai kiasi kwamba hata wanaweke wanajichubua?
Je, si ni sisi wenyewe hukashifiana kwa kuita watu wengine weusi kama mkaa au utasikia jamaa "mweusi tiii"!!
Na je, hata nywele zetu kwa muonekano ni kama za watu wa mabara mengine?
Je, si kweli kuna baadhi yetu wanapenda nywele za kizungu kuliko za kwetu?
Alafu umewahi kujiuliza ni kwanini haijatokea sisi watu weusi tukaenda kutawala watu wa mabara mengine mfano Ulaya, n.k?
Jiulize ni kwanini leo hii tunaanza kuona dalili za kuwatawaliwa na wachina?
Na je, umejiuliza ni kwanini karibu kila kitu kinaanza ulaya na si kianzie Afrika kisha kiende katika mabara mengine?
Kwa mifano hii michache miongoni mwa mingi iliyopo, haoni kuwa huenda sababu kuu ni kuwa sisi watu weusi huenda tulikuwa binadamu wa kwanza kutengenezwa ila baadae tukaonekana tuna mapungufu na hivyo utengenezaji wa binadamu ukaendelea kuboreshwa kuanzia rangi, uwezo wa kufikiri,maarifa, nywele, n.k?
Je, mpaka hapa huoni logic au uhusiano wa mtu wa kale zaidi duniani(early version of human being kwa mtazamo wangu ) kupatikana katika bonde la Olduvai Gorge (Africa) katika hili eneo la maziwa makuu likiwa ni eneo ambalo liko nyuma kuliko regions zote katika huu ulimwengu?
Wadau, japo maneno haya yanaweza yasiwapendeze baadhi ya watu, lakini je,unaona hakuna la kujiuliza mpaka hapa?
Je, hali hii, ni hivi hivi tu?
Je, si kweli sisi watu weusi our main problem has got something to do with nature that is responsible for our existence?
Kwanini hata rangi yetu ya ngozi sisi wenyewe tunaiona haitufai kiasi kwamba hata wanaweke wanajichubua?
Je, si ni sisi wenyewe hukashifiana kwa kuita watu wengine weusi kama mkaa au utasikia jamaa "mweusi tiii"!!
Na je, hata nywele zetu kwa muonekano ni kama za watu wa mabara mengine?
Je, si kweli kuna baadhi yetu wanapenda nywele za kizungu kuliko za kwetu?
Alafu umewahi kujiuliza ni kwanini haijatokea sisi watu weusi tukaenda kutawala watu wa mabara mengine mfano Ulaya, n.k?
Jiulize ni kwanini leo hii tunaanza kuona dalili za kuwatawaliwa na wachina?
Na je, umejiuliza ni kwanini karibu kila kitu kinaanza ulaya na si kianzie Afrika kisha kiende katika mabara mengine?
Kwa mifano hii michache miongoni mwa mingi iliyopo, haoni kuwa huenda sababu kuu ni kuwa sisi watu weusi huenda tulikuwa binadamu wa kwanza kutengenezwa ila baadae tukaonekana tuna mapungufu na hivyo utengenezaji wa binadamu ukaendelea kuboreshwa kuanzia rangi, uwezo wa kufikiri,maarifa, nywele, n.k?
Je, mpaka hapa huoni logic au uhusiano wa mtu wa kale zaidi duniani(early version of human being kwa mtazamo wangu ) kupatikana katika bonde la Olduvai Gorge (Africa) katika hili eneo la maziwa makuu likiwa ni eneo ambalo liko nyuma kuliko regions zote katika huu ulimwengu?
Wadau, japo maneno haya yanaweza yasiwapendeze baadhi ya watu, lakini je,unaona hakuna la kujiuliza mpaka hapa?
Je, hali hii, ni hivi hivi tu?