miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Mchit chat tu
Heheheheh aje nimuazime jiwe la fatuma...fasta tu unaingia
Mchit chat tu
Wacha comment kwenye profile yake 'visitors comments'
kuna mtu nataka ni mpm na pm yake imefungwa niko na wakati mgumu nafanyaje wakuu pls help
fungua na wewe pm yako nikwambie siwezi kumtaja hapa
hahaha kwa umbea tu hujambo ila nawait
Nimeishamjua ngoja nimwambie akutafute.....lol
Haya leta newz
hahaha ndo nini kunichezea akili nimekuta kufuli la solex
Whacha masikhara haijafunguka?
hahahaha najuuuuta escape sikuchukua ur no lol
hahahaha sio huyo ila usimtaje lol
Haha poyee em ngoja nijaribu tena...
hahahaha ngoja plan b nishaipata jifanye mjanja tu
hahahaha ngoja plan b nishaipata jifanye mjanja tu
Kuna mtu alinizingua nikatupa jongoo na mti wake, nilisahau kama kuna watu muhimu kama wewe, nimefungua kwa ajili yako. Wahisha hiyo PM ili nifunge tena!
hahahaha sio wewe bhana mzima lakini kaka
Safi tu dada yangu, mi nilijua unan'tafuta! Haya bhana ngoja nijichimbie tena!