Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,329
- 6,447
Niliingia kwenye gents ya supermarket moja na kusikia jamaa akiwa kwenye 'cubicles' za call ndefu huku akizungumza na simu ya mkononi. Hivi hizi simu kuitwa 'mobile' maanake ni sehemu zote waweza kupiga na kupokea simu? Je, huu ni ustaarabu kweli?