Hivi mkoa wa Dar uliwezaje kuvuka lengo na kuandikisha wananchi wengi zaidi ya asilimia 108 ya waliotakiwa kujiandikisha?

Kuna muujiza gani ambao mkoa wa Dar ulitumia hadi kuandikisha wananchi zaidi ya asilimia 108 ya watu waliotakiwa kujiandikisha, katika uchaguzi wa serikali za mitaa, unaotarajiwa kufanyika tarehe 24 Novemba mwaka huu??

Tukumbuke pia tulipewa taarifa na Waziri wa Tamisemi, kabla zoezi hilo halijaongezewa muda wa siku 3 wa kujiandikisha, kuwa mkoa huo katika siku 10 walizopewa za awali kujiandikisha, wenyewe ndiyo ulishika mkia, kwa kuandikisha wakazi wake asilimia 8 pekee!

Sasa ninachojiuliza mkoa huo ulitumia miujiza gani kuandikisha wananchi wake zaidi ya asilimia 108, kwa siku 3 pekee zilizoongezwa kwa uandikishaji??

Tumeona namna ambavyo.uandikishaji huo ulivyodorora sana hata katika siku 3 za nyongeza za uandikishaji huo,ambapo makarani walikuwa wakiuchapa usingizi, katika vituo vya uandikishaji wakiwasubiri hao wananchi wa kuwaandikisha

Tulishuhudia wakuu wa wilaya wakihamasisha kwa kuongea na vipaza Sauti, viwamja vitupu kabisa katika maeneo mbalimbali ya hii hilo

Tunamuomba Rais Magufuli auchungize mkoa huo kwa kuwa tunaamini kabisa, takwimu tulizopewa na Mheshimiwa Jafo ni za kupika za wazi kabisa na tunasmini pia walioandikishwa ili kuweza kuvunja rekodi, ni wale wasiostshili kujiandikisha, kama vile watoto wa shule za msingi za mkoa huo, ambao ni dhahiri hawajafika umri wa kujiandikiisha,, ambao ni miaka 18

Ikumbukwe pia zoezi hilo "lilisusiwa" na wakazi wake wengi sana, kwa kile ambacho wakazi hao wamekieleza kuwa zoezi zima la upigaji kura hapa nchini Tanzania hivi sasa kuwa kama kichekesho!

Kwa kuwa wanajua kuwa watawala wetu "wanalazimisha" ushindi wa kishindo kwa chama cha CCM, hata katika maeneo yale ambayo hawakushinda kabisa!

Tuendelee kiwasihi watawala wetu kuwa wasiwageuze watanzania wote kuwa ni wajinga na wapumbavu ambao hawajui kinachoendelea nchini kwetu hivi sasa,

Ni muhimu sana kuwa kura inayopigwa na mwananchi kwenye sanduku la kura iheshimiwe na kusiwe na uchakachuaji wa kura hizo hata kidogo

Kwa kupewa uhakikisho huo pekee, ndiyo kutaweza kuwarejeshea Imani ya kujiandikisha na hatimaye kuwapigia kura wale viongozi watakaowaona wanafaa katika maeneo husika
Hizo ni takwimu za kupika ili mwana wa mfalme asilaumiwe
 
Hizo ni takwimu za kupika ili mwana wa mfalme asilaumiwe
Wanawezaje kuruhusu taarifa za kupika katika zoezi muhimu kwa Taifa kama hili??

Ndiyo maana tunamuomba Rais Magufuli aunde Tume kuchunguza uhalali wa waliojiandikisha katika mkoa wa Dar
 
Kuna muujiza gani ambao mkoa wa Dar ulitumia hadi kuandikisha wananchi zaidi ya asilimia 108 ya watu waliotakiwa kujiandikisha, katika uchaguzi wa serikali za mitaa, unaotarajiwa kufanyika tarehe 24 Novemba mwaka huu??

Tukumbuke pia tulipewa taarifa na Waziri wa Tamisemi, kabla zoezi hilo halijaongezewa muda wa siku 3 wa kujiandikisha, kuwa mkoa huo katika siku 10 walizopewa za awali kujiandikisha, wenyewe ndiyo ulishika mkia, kwa kuandikisha wakazi wake asilimia 8 pekee!

Sasa ninachojiuliza mkoa huo ulitumia miujiza gani kuandikisha wananchi wake zaidi ya asilimia 108, kwa siku 3 pekee zilizoongezwa kwa uandikishaji??

Tumeona namna ambavyo.uandikishaji huo ulivyodorora sana hata katika siku 3 za nyongeza za uandikishaji huo,ambapo makarani walikuwa wakiuchapa usingizi, katika vituo vya uandikishaji wakiwasubiri hao wananchi wa kuwaandikisha

Tulishuhudia wakuu wa wilaya wakihamasisha kwa kuongea na vipaza Sauti, viwamja vitupu kabisa katika maeneo mbalimbali ya hii hilo

Tunamuomba Rais Magufuli auchunguze mkoa huo kwa kuwa tunaamini kabisa, takwimu tulizopewa na Mheshimiwa Jafo ni za kupika za wazi kabisa na tunaamini pia walioandikishwa, ili kuweza kuvunja rekodi, ni wale wasiostshili kujiandikisha, kama vile watoto wa shule za msingi za mkoa huo, ambao ni dhahiri hawajafika umri wa kujiandikiisha,, ambao ni miaka 18

Ikumbukwe pia zoezi hilo "lilisusiwa" na wakazi wake wengi sana, kwa kile ambacho wakazi hao wamekieleza kuwa zoezi zima la upigaji kura hapa nchini Tanzania hivi sasa kuwa kama kichekesho!

Kwa kuwa wanajua kuwa watawala wetu "wanalazimisha" ushindi wa kishindo kwa chama cha CCM, hata katika maeneo yale ambayo hawakushinda kabisa!

Tuendelee kiwasihi watawala wetu kuwa wasiwageuze watanzania wote kuwa ni wajinga na wapumbavu ambao hawajui kinachoendelea nchini kwetu hivi sasa,

Ni muhimu sana kuwa kura inayopigwa na mwananchi kwenye sanduku la kura iheshimiwe na kusiwe na uchakachuaji wa kura hizo hata kidogo

Kwa kupewa uhakikisho huo pekee, ndiyo kutaweza kuwarejeshea Imani ya kujiandikisha na hatimaye kuwapigia kura wale viongozi watakaowaona wanafaa katika maeneo husika
Na bado usishangae mkuu siku idadi ya kura ikizidi ya wapiga kura...
Yako mambo yanapatikana Tz pekee... "... nchi yetu ya ajabu... imejaa maajabu!!!"
 
Kuna muujiza gani ambao mkoa wa Dar ulitumia hadi kuandikisha wananchi zaidi ya asilimia 108 ya watu waliotakiwa kujiandikisha, katika uchaguzi wa serikali za mitaa, unaotarajiwa kufanyika tarehe 24 Novemba mwaka huu??

Tukumbuke pia tulipewa taarifa na Waziri wa Tamisemi, kabla zoezi hilo halijaongezewa muda wa siku 3 wa kujiandikisha, kuwa mkoa huo katika siku 10 walizopewa za awali kujiandikisha, wenyewe ndiyo ulishika mkia, kwa kuandikisha wakazi wake asilimia 8 pekee!

Sasa ninachojiuliza mkoa huo ulitumia miujiza gani kuandikisha wananchi wake zaidi ya asilimia 108, kwa siku 3 pekee zilizoongezwa kwa uandikishaji??

Tumeona namna ambavyo.uandikishaji huo ulivyodorora sana hata katika siku 3 za nyongeza za uandikishaji huo,ambapo makarani walikuwa wakiuchapa usingizi, katika vituo vya uandikishaji wakiwasubiri hao wananchi wa kuwaandikisha

Tulishuhudia wakuu wa wilaya wakihamasisha kwa kuongea na vipaza Sauti, viwamja vitupu kabisa katika maeneo mbalimbali ya hii hilo

Tunamuomba Rais Magufuli auchunguze mkoa huo kwa kuwa tunaamini kabisa, takwimu tulizopewa na Mheshimiwa Jafo ni za kupika za wazi kabisa na tunaamini pia walioandikishwa, ili kuweza kuvunja rekodi, ni wale wasiostshili kujiandikisha, kama vile watoto wa shule za msingi za mkoa huo, ambao ni dhahiri hawajafika umri wa kujiandikiisha,, ambao ni miaka 18

Ikumbukwe pia zoezi hilo "lilisusiwa" na wakazi wake wengi sana, kwa kile ambacho wakazi hao wamekieleza kuwa zoezi zima la upigaji kura hapa nchini Tanzania hivi sasa kuwa kama kichekesho!

Kwa kuwa wanajua kuwa watawala wetu "wanalazimisha" ushindi wa kishindo kwa chama cha CCM, hata katika maeneo yale ambayo hawakushinda kabisa!

Tuendelee kiwasihi watawala wetu kuwa wasiwageuze watanzania wote kuwa ni wajinga na wapumbavu ambao hawajui kinachoendelea nchini kwetu hivi sasa,

Ni muhimu sana kuwa kura inayopigwa na mwananchi kwenye sanduku la kura iheshimiwe na kusiwe na uchakachuaji wa kura hizo hata kidogo

Kwa kupewa uhakikisho huo pekee, ndiyo kutaweza kuwarejeshea Imani ya kujiandikisha na hatimaye kuwapigia kura wale viongozi watakaowaona wanafaa katika maeneo husika
Unampigia mbuzi gitaa. Unaomba msaada kwa nani? Umepotea njia.
 
Wanawezaje kuruhusu taarifa za kupika katika zoezi muhimu kwa Taifa kama hili??

Ndiyo maana tunamuomba Rais Magufuli aunde Tume kuchunguza uhalali wa waliojiandikisha katika mkoa wa Dar
Mkuu umuhimu ni kushinda kwa kishindo tu... takwimu hazina umuhimu mkubwa au siku hizi imeruhusiwa "kuhojihoji?"
 
Ndiyo uone namna watawala wetu wanavyotuona wananchi wake tulivyo wajinga na wapumbavu, tusioweza kupambanua na kuujua ukweli

Ukweli unafahamika Ni kwamba hakuna sehemu huru za kuondoa haya makandokando... Hata ilo sanduku la kura nalo halipo huru, mahakama nazo Ni vilevile... Wana usalama nao Ni walewale... Wabunge nao Ni mzigo kwa taifa Hili...
 
Unampigia mbuzi gitaa. Unaomba msaada kwa nani? Umepotea njia.
Tunajua kuwa Mungu hadhihakiwi.....

Tunekuwa tukimsiikia kila mara katika hotuba zake kwenye majukwaa ya kisiasa, akiwasisitizia watendaji wake kuwa watimize majukumu yao kwa haki na kuwa maendeleo hayana chama

Kwa maana hiyo tunamuomba yeye, awakemee viongozi wake wanaomletea takwimu feki
 
Nje ya mada. Hivi zile siku 6 za Makonda alizotoa kwa waziri Jafo bado hazijaisha tu maandamano yaanze
 
Kuna muujiza gani ambao mkoa wa Dar ulitumia hadi kuandikisha wananchi zaidi ya asilimia 108 ya watu waliotakiwa kujiandikisha, katika uchaguzi wa serikali za mitaa, unaotarajiwa kufanyika tarehe 24 Novemba mwaka huu??

Tukumbuke pia tulipewa taarifa na Waziri wa Tamisemi, kabla zoezi hilo halijaongezewa muda wa siku 3 wa kujiandikisha, kuwa mkoa huo katika siku 10 walizopewa za awali kujiandikisha, wenyewe ndiyo ulishika mkia, kwa kuandikisha wakazi wake asilimia 8 pekee!

Sasa ninachojiuliza mkoa huo ulitumia miujiza gani kuandikisha wananchi wake zaidi ya asilimia 108, kwa siku 3 pekee zilizoongezwa kwa uandikishaji??

Tumeona namna ambavyo.uandikishaji huo ulivyodorora sana hata katika siku 3 za nyongeza za uandikishaji huo,ambapo makarani walikuwa wakiuchapa usingizi, katika vituo vya uandikishaji wakiwasubiri hao wananchi wa kuwaandikisha

Tulishuhudia wakuu wa wilaya wakihamasisha kwa kuongea na vipaza Sauti, viwamja vitupu kabisa katika maeneo mbalimbali ya hii hilo

Tunamuomba Rais Magufuli auchunguze mkoa huo kwa kuwa tunaamini kabisa, takwimu tulizopewa na Mheshimiwa Jafo ni za kupika za wazi kabisa na tunaamini pia walioandikishwa, ili kuweza kuvunja rekodi, ni wale wasiostshili kujiandikisha, kama vile watoto wa shule za msingi za mkoa huo, ambao ni dhahiri hawajafika umri wa kujiandikiisha,, ambao ni miaka 18

Ikumbukwe pia zoezi hilo "lilisusiwa" na wakazi wake wengi sana, kwa kile ambacho wakazi hao wamekieleza kuwa zoezi zima la upigaji kura hapa nchini Tanzania hivi sasa kuwa kama kichekesho!

Kwa kuwa wanajua kuwa watawala wetu "wanalazimisha" ushindi wa kishindo kwa chama cha CCM, hata katika maeneo yale ambayo hawakushinda kabisa!

Tuendelee kiwasihi watawala wetu kuwa wasiwageuze watanzania wote kuwa ni wajinga na wapumbavu ambao hawajui kinachoendelea nchini kwetu hivi sasa,

Ni muhimu sana kuwa kura inayopigwa na mwananchi kwenye sanduku la kura iheshimiwe na kusiwe na uchakachuaji wa kura hizo hata kidogo

Kwa kupewa uhakikisho huo pekee, ndiyo kutaweza kuwarejeshea Imani ya kujiandikisha na hatimaye kuwapigia kura wale viongozi watakaowaona wanafaa katika maeneo husika
NA ILE MVUA YA MAFURIKO, CHINI YA BASHITE HATA MAJI HUITWA MMA
 
Tunajua kuwa Mungu hadhihakiwi.....

Tunekuwa tukimsiikia kila mara katika hotuba zake kwenye majukwaa ya kisiasa, akiwasisitizia watendaji wake kuwa watimize majukumu yao kwa haki na kuwa maendeleo hayana chama

Kwa maana hiyo tunamuomba yeye, awakemee viongozi wake wanaomletea takwimu feki

Maagizo ya kutenda haki ni yale ya kuibeba ccm, huyo unayemuomba aunde tume kuchunguza uhalali wa hiyo idadi, ndio mtoa maagizo ya hiyo idadi kupikwa.
 
Nje ya mada. Hivi zile siku 6 za Makonda alizotoa kwa waziri Jafo bado hazijaisha tu maandamano yaanze
Huyo bado tu hajamzoea tuuu??

Huyo ni mshehereshaji zaidi ya mtendaji

Hayo maandamano unayoyaongelea kama kwenye hayo maagizo yake ya awali, yameyeyuka
 
Maagizo ya kutenda haki ni yale ya kuibeba ccm, huyo unayemuomba aunde tume kuchunguza uhalali wa hiyo idadi, ndio mtoa maagizo ya hiyo idadi kupikwa.
Sasa hao watu tunaowaita "praise and worship team" wanawezaje kuhemka, pale wanapoona anazushiwa mabaya huyo Mkulu??
 
Ukitaka kujua vizuri omba majina tafuta hao watu kwenye hyo mitaa kama wapo? Utakuta viroja.
Pili kwa tanzania hata wafu hupiga kura
 
Back
Top Bottom