Hivi mimi ni mbinafsi?

Hivi mimi ni mbinafsi?

Nashindwa hata nichangie nini!! mleta thread kama ww siyo mtu Mwenye hasiri basi sioni kama utakuwa na tatizo!! japo wengi wanatamani wawe kama ww
 
Imebidi nijiulize hili swali, hivi mtu mbinafsi yuko vipi? Je mimi ni mmoja wao?

Kwa mfano nikitaka kitu changu huwa sina compromise, when pursuing something huwa sijali wengine wanafikiri nini as long as I do not step on their feet, I can give up a relationship for it kama nikiona inaniwekea usiku, napokuwa na mipango yangu sitaki niingiliwe. Nikichukua msimamo ndio huo huo sibadiliki japo hujipa muda na fikra nyingi kabla ya kuchukua msimamo.

Huwa sipendi kuwategeme watu, na vile vile sipendi watu wanitegemee, I hate favours na gifts, mara nyingi I will turn them down ila na mimi I hardly give favours na gifts.

Mfano I was in a relationship, nilianza project moja ambayo ilikuwa inakula sana muda wangu na mwenzi wangu kwenye uhusiano akawa analalamika sana, kwa kweli sikuridi nyuma pamoja na malalamiko yake, ilikuwa sehemu ya kutimiza ndoto zangu. Upande wa pili yeye ndoto yake kubwa ilikuwa awe professional accountant, akawa anafanya ACCA, alipata chance ya kwenda kumalizia UK sasa akawa anasita sita, alikuwa anafikiria uhusiano wetu utakuwaje akiondoka, mimi nilimpa moyo nenda mama its your dream! Basi akaenda, kama miezi minne kule ananiarifu kampenda jamaa mwingine, well nikamwambia kama umempenda kweli na upo happy, nakubali matokeo japo nitakumisi sana. Your happiness should come first, pamoja na machungu yangu, part of me imeridhika kama tu utakuwa na furaha.

Ndio falisafa yangu, live and let live, don’t give up your happiness for anything, don’t give up your dreams for anything but do not step on other people’s feet!

Je mimi ni mbinafsi?

I just want to know japo sina mpango wa kubadilika.
Yote uloandika yananihusu na mimi ila zaidi mimi ni mchoyo, bahili, sina rafiki, ila naheshimu kila mtu, sina maringo lakini ukiwa na shida mpaka nikusaidie labda unakaribia kufa, siendi kwenye sherehe za majirani hata za ndugu, ila msiba hata wa mtu nisiye mjua mtaani mpaka mtaa wa tano nashiriki kikamilifu, sinywi pombe sivuti fegi, sina mambo ya totoz nina mke mmoja tu
 
sasa hapa ulikua na lengo la kuuliza swali au kujifagilia?!!?
 
Nilikutafuta kila kona sikuoni

Hata simu yako haipokelewi

Nikasema nikuache kwanza ile faragha ipite halafu nitakudaka tuu..
Hahha hadi kwenye email sikuwa napatikana? Tafadhali bana, itakuwa ulikosea kusev namba yangu teh
 
Yote uloandika yananihusu na mimi ila zaidi mimi ni mchoyo, bahili, sina rafiki, ila naheshimu kila mtu, sina maringo lakini ukiwa na shida mpaka nikusaidie labda unakaribia kufa, siendi kwenye sherehe za majirani hata za ndugu, ila msiba hata wa mtu nisiye mjua mtaani mpaka mtaa wa tano nashiriki kikamilifu, sinywi pombe sivuti fegi, sina mambo ya totoz nina mke mmoja tu
Tabia zako na zangu hazijapishana sanaaa Ila mm ni mtu mmoja msiri sana hadi uje ujue mambo yangu si Leo wala kesho na napenda sana kuishi maisha ya kawaida sana, Sipendi kujionesha kwa watu napenda sana kusaidia hasa watoto! campani yangu kubwa ni watoto wadogo, Mm siyo mwongeaji sanaaa nikibishana na mtu haichukui dk 5 kulia!! Sipendi marafiki rafiki yangu ni Yule nae fanya nae kazi kwa mda huo tu nikisha maliza sitaki hata nimuone
Mkuu umenigusa sana!
Mimi sipendi kupewa favor ila tatizo nina huruma za kijinga sana natoa sana favor and that is the only weakness i always fight against.
 
Tabia zako na zangu hazijapishana sanaaa Ila mm ni mtu mmoja msiri sana hadi uje ujue mambo yangu si Leo wala kesho na napenda sana kuishi maisha ya kawaida sana, Sipendi kujionesha kwa watu napenda sana kusaidia hasa watoto! campani yangu kubwa ni watoto wadogo, Mm siyo mwongeaji sanaaa nikibishana na mtu haichukui dk 5 kulia!! Sipendi marafiki rafiki yangu ni Yule nae fanya nae kazi kwa mda huo tu nikisha maliza sitaki hata nimuone
Usiri kwangu imekuwa maisha, i have fb account imenilazimu kwa ajili ya kazi lakini you will never see my pics na wala its not under my real name, kwenye whatsap ambayo pia imenilazimu kwaajili ya kazi huwezi kuta pic yangu kwenye profile. In shot naishi low profile life, kuna watu ambao tunajuana nikikutana nao bahati mbaya mjini wanauliza upo mji huu kweli?
 
Hahha hadi kwenye email sikuwa napatikana? Tafadhali bana, itakuwa ulikosea kusev namba yangu teh

Hahahah...email nlihisi utachelewa kuipata...

Halafu vyote ntasahau lakini sio ile namba yako niambie tu Jumapili ulikua wapi moyo wangu utulie...
 
Imebidi nijiulize hili swali, hivi mtu mbinafsi yuko vipi? Je mimi ni mmoja wao?

Kwa mfano nikitaka kitu changu huwa sina compromise, when pursuing something huwa sijali wengine wanafikiri nini as long as I do not step on their feet, I can give up a relationship for it kama nikiona inaniwekea usiku, napokuwa na mipango yangu sitaki niingiliwe. Nikichukua msimamo ndio huo huo sibadiliki japo hujipa muda na fikra nyingi kabla ya kuchukua msimamo.

Huwa sipendi kuwategeme watu, na vile vile sipendi watu wanitegemee, I hate favours na gifts, mara nyingi I will turn them down ila na mimi I hardly give favours na gifts.

Mfano I was in a relationship, nilianza project moja ambayo ilikuwa inakula sana muda wangu na mwenzi wangu kwenye uhusiano akawa analalamika sana, kwa kweli sikuridi nyuma pamoja na malalamiko yake, ilikuwa sehemu ya kutimiza ndoto zangu. Upande wa pili yeye ndoto yake kubwa ilikuwa awe professional accountant, akawa anafanya ACCA, alipata chance ya kwenda kumalizia UK sasa akawa anasita sita, alikuwa anafikiria uhusiano wetu utakuwaje akiondoka, mimi nilimpa moyo nenda mama its your dream! Basi akaenda, kama miezi minne kule ananiarifu kampenda jamaa mwingine, well nikamwambia kama umempenda kweli na upo happy, nakubali matokeo japo nitakumisi sana. Your happiness should come first, pamoja na machungu yangu, part of me imeridhika kama tu utakuwa na furaha.

Ndio falisafa yangu, live and let live, don’t give up your happiness for anything, don’t give up your dreams for anything but do not step on other people’s feet!

Je mimi ni mbinafsi?

I just want to know japo sina mpango wa kubadilika.
"Wewe sio mbinafsi ila labda kwenye Maisha wanakuhitaji watu usio wahitaji"
 
That's not a selfish but you know what you want and go for it.. Binafsi nilishawahi kuitwa Jeuri ( because sifuati wanayotaka niyafuate , out of my vision ) because who I am ... And things I do almost the same as yours .. But still I do God and me ( na sina mpango WA kujibadilisha when it comes on my success ) . .. When it comes on what I want ( sipendi kutegemea people I just want to fight on my own ), , I just don't care what people think or will do .. As long as I have kibali kwa Mungu I really don't care what they say or do.. Watu wanaokusema sema sana ujue they are jealous of you , and they want to be like you but they can't or they want you to be a failure like them.. Wanasahau kila MTU amepewa gifts and anointing tofauti .. So keep moving forward without looking back.. And one day watakusalimia kwa heshima .. Thanks..
 
Hatupishani sana na Mimi mkuu, maisha ndio haya haya,kwanini uwaste muda kwa vitu ambavyo sio guaranteed?
 
Mbona uko kama mimi tu, ila mimi sio mbinafsi
 
Back
Top Bottom