Hivi Michuzi anaishi Tanzania?

Jakubumba

JF-Expert Member
Mar 5, 2011
1,624
500
Jamani kila siku napakua michuzi blog lakini sijawahi kukutana na taarifa za mapambano ya kuiokoa nchi yetu. Kila siku yeye na wasanii, kama ni habari za siasa utakuta ni chama cha ccm tu. JE YEYE BLOG YAKE HAITAKI MABADILIKO HAYA TUNAYOYAONA JAMII FORUMS INAYAPIGANIA?
 
Jamani kila siku napakua michuzi blog lakini sijawahi kukutana na taarifa za mapambano ya kuiokoa nchi yetu. Kila siku yeye na wasanii, kama ni habari za siasa utakuta ni chama cha ccm tu. JE YEYE BLOG YAKE HAITAKI MABADILIKO HAYA TUNAYOYAONA JAMII FORUMS INAYAPIGANIA?

Kumbuka vita ya 99% vs. 1% haiko USA tu. Ndivyo dunia yote ilivyo. Kati ya 99% kuna wabeba mifuko ya 1% - hao uwambii kitu wakasikia. Hata Kanali kule Libya alifurumushwa nao kutoka katika makavalti. Yuko Tanzania - ni mbeba mifuko ya 1%.
 
Nani kakuambia magamba wanataka mabadiliko?Yeye ni mpambaji wa magamba wala si mpambanaji wa kuleta mabadiliko, yeye amefika hapo alipo.
 
nani kakuambia magamba wanataka mabadiliko?yeye ni mpambaji wa magamba wala si mpambanaji wa kuleta mabadiliko, yeye amefika hapo alipo.

basi kama mambo yenyewe ndo hayo anayofanya tuna kazi ngumu sana kuhakikisha democrasia ya kweli inapatikana!
 
Zamani alikuwa anaonekana. Lakni baada ya kugundua kuwa humo Jf hakuna kitu bali, majungu, wivu, chuki, hasira, kashfa, uchochezi na fikira potofu kwamba maendeleo yakapatikana kwa kufanya migomo, maandamano, kashfa kwa serikali , watu kutafuta umaarufu bila kutokwa jasho, akaamua kutupuuza. Sasa kama kila siku mambo ni yale yale: Polisi wameua, Lema shujaa, CCM kwishne, Jk kashindwa kazi, hakuna kulala mpaka kileleweke na mengine mengi ambayo hayana tija kwa mstakabali wa Tanzania unategemea kweli ISSA MICHUZI aweke mambo hayo kwenye blog yake. Tubadilike humu ndani.

Nasubiri matusi zaidi, kutoka kwenu, lakini ukweli utabaki pale pale kwamba hizo siyo njia sahihi za mabadiliko.
 
Zamani alikuwa anaonekana. Lakni baada ya kugundua kuwa humo Jf hakuna kitu bali, majungu, wivu, chuki, hasira, kashfa, uchochezi na fikira potofu kwamba maendeleo yakapatikana kwa kufanya migomo, maandamano, kashfa kwa serikali , watu kutafuta umaarufu bila kutokwa jasho, akaamua kutupuuza. Sasa kama kila siku mambo ni yale yale: Polisi wameua, Lema shujaa, CCM kwishne, Jk kashindwa kazi, hakuna kulala mpaka kileleweke na mengine mengi ambayo hayana tija kwa mstakabali wa Tanzania unategemea kweli ISSA MICHUZI aweke mambo hayo kwenye blog yake. Tubadilike humu ndani.

Nasubiri matusi zaidi, kutoka kwenu, lakini ukweli utabaki pale pale kwamba hizo siyo njia sahihi za mabadiliko.

We nahisi utakuwa ndiye michuzi mwenyewe. Kama unajua kuwa JF kuna hayo yote ni kipi kinachokufanya uwe unaingia humu?
 
Hivi bado unaipitia hiyo Blog...duh kweli watau tupo tofauti sana
 
mh..gamba libadilike?...kwanza aanze na kutoka kwenye blog..na aifanye tovuti kamili...
 
Zamani alikuwa anaonekana. Lakni baada ya kugundua kuwa humo Jf hakuna kitu bali, majungu, wivu, chuki, hasira, kashfa, uchochezi na fikira potofu kwamba maendeleo yakapatikana kwa kufanya migomo, maandamano, kashfa kwa serikali , watu kutafuta umaarufu bila kutokwa jasho, akaamua kutupuuza. Sasa kama kila siku mambo ni yale yale: Polisi wameua, Lema shujaa, CCM kwishne, Jk kashindwa kazi, hakuna kulala mpaka kileleweke na mengine mengi ambayo hayana tija kwa mstakabali wa Tanzania unategemea kweli ISSA MICHUZI aweke mambo hayo kwenye blog yake. Tubadilike humu ndani.

Nasubiri matusi zaidi, kutoka kwenu, lakini ukweli utabaki pale pale kwamba hizo siyo njia sahihi za mabadiliko.

Unafanya nini humu sasa? We siutuache na mambo yetu? Ungekuwa msichana ningesema nataka sitaki tamu hiyo
 
Zamani alikuwa anaonekana. Lakni baada ya kugundua kuwa humo Jf hakuna kitu bali, majungu, wivu, chuki, hasira, kashfa, uchochezi na fikira potofu kwamba maendeleo yakapatikana kwa kufanya migomo, maandamano, kashfa kwa serikali , watu kutafuta umaarufu bila kutokwa jasho, akaamua kutupuuza. Sasa kama kila siku mambo ni yale yale: Polisi wameua, Lema shujaa, CCM kwishne, Jk kashindwa kazi, hakuna kulala mpaka kileleweke na mengine mengi ambayo hayana tija kwa mstakabali wa Tanzania unategemea kweli ISSA MICHUZI aweke mambo hayo kwenye blog yake. Tubadilike humu ndani.

Nasubiri matusi zaidi, kutoka kwenu, lakini ukweli utabaki pale pale kwamba hizo siyo njia sahihi za mabadiliko.

Njia za mabadiliko ni zipi sasa hebu tuambie?au ni kuwasifia majizi wa keki ya taifa?ni kuisifia serikali iliyoshindwa kazi?au ni kusifia wanaohongwa suti na wao kutoa ardhi yetu?au ni kuwasupport wawekezaji kupora ardh yetu,kuiba madini,kuondolewa kodi wakati sisi wenye mitaji ya nyanya tunakamuliwa mpaka damu,na wakati mwingine kuporwa kabisa vimitaji vyetu?hebu chagua jibu moja kati ya hayo ili nikujue jinsi ulivyo.
 
Mimi kwa mfano huko kwa michuzi huwa siangalii kabisaaaa kama vile nilivyojipiga ban clouds fm
 
Jamani kila siku napakua michuzi blog lakini sijawahi kukutana na taarifa za mapambano ya kuiokoa nchi yetu. Kila siku yeye na wasanii, kama ni habari za siasa utakuta ni chama cha ccm tu. JE YEYE BLOG YAKE HAITAKI MABADILIKO HAYA TUNAYOYAONA JAMII FORUMS INAYAPIGANIA?
try to understand "decentralization" kama wote wakitujuza kuhusu siasa vingine tutavujuaje?? acha wanamichezo watujuze michezo kwny bllog zao mf shafih dauda, muziki mf djchoka,michuzi nk, SIASA mf kulikoni ughaibuni, chini ya carpeti, MAHUSIANO mf dina marios,penzi la kweli....
 
Jamani kila siku napakua michuzi blog lakini sijawahi kukutana na taarifa za mapambano ya kuiokoa nchi yetu. Kila siku yeye na wasanii, kama ni habari za siasa utakuta ni chama cha ccm tu. JE YEYE BLOG YAKE HAITAKI MABADILIKO HAYA TUNAYOYAONA JAMII FORUMS INAYAPIGANIA?

try to understand "decentralization" kama wote wakitujuza kuhusu siasa vingine tutavujuaje?? acha wanamichezo watujuze michezo kwny bllog zao mf shafih dauda, muziki mf djchoka,michuzi nk, SIASA mf kulikoni ughaibuni, chini ya carpeti, MAHUSIANO mf dina marios,penzi la kweli....

Pariphosa, kwa hiyo habari za CCM siyo siasa?
 
Well said Thatha:
Inawezekana hapaJF uliloliona ni hilo.Mimi si mpenzi wa blog ya michuzi, but hata kama hayo uloyasema ndo daily activities za humu ndani, nilidhani badala ya kuwa passive tunaweza kujenga nchi kwa kuwa objective. Binafsi nachukia tabia za watu kuficha vichwa nyetu kwenye mchanga kama mbuni. La msingi target sio michuzi peke yake, bali blog zote, ni vema kujaribu kuibua mambo magumu ambayo si lazima kuisema serikali pekee - bali hata ku-challenge hulka na silka za watz walio wengi.
Yumkini zipo njia nyingi za kuleta mabadiliko (matusi si njia mojawapo) lakini basi tunaweza kuleta mabadiliko si kwa kusifia hata pale tunapokuwa na ushahidi kuwa sifa zinapotolewa pasipostahili umharibu mpotoshaji badala ya kumjenga!!! rafiki wa kweli ni lazima aweze kuwa na uthubutu wa kukuambia 'kaka ....hapa umeboronga'!

Zamani alikuwa anaonekana. Lakni baada ya kugundua kuwa humo Jf hakuna kitu bali, majungu, wivu, chuki, hasira, kashfa, uchochezi na fikira potofu kwamba maendeleo yakapatikana kwa kufanya migomo, maandamano, kashfa kwa serikali , watu kutafuta umaarufu bila kutokwa jasho, akaamua kutupuuza. Sasa kama kila siku mambo ni yale yale: Polisi wameua, Lema shujaa, CCM kwishne, Jk kashindwa kazi, hakuna kulala mpaka kileleweke na mengine mengi ambayo hayana tija kwa mstakabali wa Tanzania unategemea kweli ISSA MICHUZI aweke mambo hayo kwenye blog yake. Tubadilike humu ndani.

Nasubiri matusi zaidi, kutoka kwenu, lakini ukweli utabaki pale pale kwamba hizo siyo njia sahihi za mabadiliko.
 
Zamani alikuwa anaonekana. Lakni baada ya kugundua kuwa humo Jf hakuna kitu bali, majungu, wivu, chuki, hasira, kashfa, uchochezi na fikira potofu kwamba maendeleo yakapatikana kwa kufanya migomo, maandamano, kashfa kwa serikali , watu kutafuta umaarufu bila kutokwa jasho, akaamua kutupuuza. Sasa kama kila siku mambo ni yale yale: Polisi wameua, Lema shujaa, CCM kwishne, Jk kashindwa kazi, hakuna kulala mpaka kileleweke na mengine mengi ambayo hayana tija kwa mstakabali wa Tanzania unategemea kweli ISSA MICHUZI aweke mambo hayo kwenye blog yake. Tubadilike humu ndani.

Nasubiri matusi zaidi, kutoka kwenu, lakini ukweli utabaki pale pale kwamba hizo siyo njia sahihi za mabadiliko.
Ungeenda kuandika kwa MiCHUZI basi.......mbwiga uso rizki.
 
Zamani alikuwa anaonekana. Lakni baada ya kugundua kuwa humo Jf hakuna kitu bali, majungu, wivu, chuki, hasira, kashfa, uchochezi na fikira potofu kwamba maendeleo yakapatikana kwa kufanya migomo, maandamano, kashfa kwa serikali , watu kutafuta umaarufu bila kutokwa jasho, akaamua kutupuuza. Sasa kama kila siku mambo ni yale yale: Polisi wameua, Lema shujaa, CCM kwishne, Jk kashindwa kazi, hakuna kulala mpaka kileleweke na mengine mengi ambayo hayana tija kwa mstakabali wa Tanzania unategemea kweli ISSA MICHUZI aweke mambo hayo kwenye blog yake. Tubadilike humu ndani.

Nasubiri matusi zaidi, kutoka kwenu, lakini ukweli utabaki pale pale kwamba hizo siyo njia sahihi za mabadiliko.
Lazima tukubali kwamba fikra zinazokinzana ni ishara ya watu wanao fikiria kwa uhuru. JF inamkusanyiko wa fikra nyingi zaidi ya unazotaka tuone kwamba ndizo zilizotawala. Hapo kwenye nyekundu nahisi umeshaonyesha kujihukumu mwenyewe..
 
Zamani alikuwa anaonekana. Lakni baada ya kugundua kuwa humo Jf hakuna kitu bali, majungu, wivu, chuki, hasira, kashfa, uchochezi na fikira potofu kwamba maendeleo yakapatikana kwa kufanya migomo, maandamano, kashfa kwa serikali , watu kutafuta umaarufu bila kutokwa jasho, akaamua kutupuuza. Sasa kama kila siku mambo ni yale yale: Polisi wameua, Lema shujaa, CCM kwishne, Jk kashindwa kazi, hakuna kulala mpaka kileleweke na mengine mengi ambayo hayana tija kwa mstakabali wa Tanzania unategemea kweli ISSA MICHUZI aweke mambo hayo kwenye blog yake. Tubadilike humu ndani.

Nasubiri matusi zaidi, kutoka kwenu, lakini ukweli utabaki pale pale kwamba hizo siyo njia sahihi za mabadiliko.
Sasa kama umeona huku hakufai unafuata nn? waume au?
 
Back
Top Bottom