HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,444
- 6,201
Habari wanabodi,
Nimekuja kuomba ushauri. Nimeoa mwezi uliopita sasa kuna kamchepuko kangu kamenasa mimba mwezi niliofunga ndoa, sasa kananisumbua balaa kila muda kanataka niwe nako halafu wameungana na dada yake yaani anataka nimthamini kuliko mke wa ndani.
Nikiwa kazini anatuma text njoo nyumbani la sivyo natoa mimba, yaani amekuwa kero kwakweli. Dada yake anamsapoti sana nimechoka.
Juzi nilimwambia nasafiri kikazi nje ya mkoa akataka niende nae nikagoma akaanza kusema yeye basi anatafuta mtu mwingine maana ana genye, nikasema tafuta tu mimi sitaki mahusiano ya kimapenzi na wewe..., akaanza basi mimi natoa mimba siwezi lea kiumbe asiye na faida.
Kwa kweli mchepuko huu ni taabu tu.
Nimekuja kuomba ushauri. Nimeoa mwezi uliopita sasa kuna kamchepuko kangu kamenasa mimba mwezi niliofunga ndoa, sasa kananisumbua balaa kila muda kanataka niwe nako halafu wameungana na dada yake yaani anataka nimthamini kuliko mke wa ndani.
Nikiwa kazini anatuma text njoo nyumbani la sivyo natoa mimba, yaani amekuwa kero kwakweli. Dada yake anamsapoti sana nimechoka.
Juzi nilimwambia nasafiri kikazi nje ya mkoa akataka niende nae nikagoma akaanza kusema yeye basi anatafuta mtu mwingine maana ana genye, nikasema tafuta tu mimi sitaki mahusiano ya kimapenzi na wewe..., akaanza basi mimi natoa mimba siwezi lea kiumbe asiye na faida.
Kwa kweli mchepuko huu ni taabu tu.