Hivi masekretari wana matatizo gani?

Hivi masekretari wana matatizo gani?

Solo Traveller

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2021
Posts
1,724
Reaction score
5,170
Nimeenda ofisi Fulani kupeleka barua kuhusu mambo Fulani.

Secretary kwa mapozi ananijibu barua hii itachukua mwezi kujibiwa.

Nikamuuliza utanisaiidiaje Sasa anasema Hana msaada wowote anachukulia poa.

Wakati maombi ya barua yangu yanahitaji wiki ili kutekelezwa

Naona ananipandishia sauti juu nikuambie oya sikia nipe barua yangu ntapeleka mwenyewe.

Anagoma nikamwambia oya wewe nipe barua huku kichwa na Macho mekundu...amenipa

Sasa nipo ofisini kwa mkuu wake ili anisaidie kiukweli ninasumbuliwa na ugonjwa wa hasira naweza hata kumfumua makofi
 
Miaka kadhaa nyuma nilimfanyia mtu kazi yake, freelancing na akatokea kuvutiwa na kazi yangu.
Jamaa alinipa maelekezo kuwa nipeleke CV yangu ofisi fulani nimkabidhi secretary anaeitwa Jane.

Nilifika mpaka ofisini na kukutana na huyo Bi. Jane. Introduction kwanza anamfokea mtu wa usafi ambae ni mama wa makamo, alikuwa anatoa maneno ya kejeli kama vile ni katoto kadogo anakakaripia.

Kumkabidhi bahasha ya yangu sasa, kwanza aliniangalia juu mpaka chini halafu kejeli zikahamia kwangu. Bila hata kutaka maelezo alianza nyodo kuwa hakuna kazi hivyo nisiweke matumaini yangu juu. Nikaona isiwe tabu, nilimuachia bahasha nikaondoka zangu.

Baada ya siku 2 jamaa alienielekeza nipeleke CV akanipigia kuuliza mbona sikupeleka. Nikamwambia kilichotokea.
Jamaa akaniambia J3 yake niamkie hapo ofisini.

Kufika Jumatatu niliwahi kidogo, nikapokelewa na Jane, kama kawaida akaanza kutaranya kuwa alishaniambia hakuna kazi. Mimi sikumsemesha nikakaa tu hapo reception. Ile kidogo ilimtisha maana alinywea na kuanza kujiongelesha kiupole.

Baada ya muda jamaa akaingia, Jane kainuka kwa heshima na kumsalimia jamaa na neno Boss baada ya kila sentence.
Swali la kwanza Boss akauliza kama kuna bahasha yake yeyote ililetwa na mimi wiki iliyopita, Jane akaanza kujiuma uma bila ya jibu la msingi.

Kufanya story kuwa fupi, ni kwamba nilianza kazi hapo na alikuwa ana report kwangu. Kutokana na malalamiko ya wafanyakazi wengi pamoja na wageni juu ya tabia za Jane, ilibidi tu afungashe virago maisha yaendelee.
 
Miaka kadhaa nyuma nilimfanyia mtu kazi yake, freelancing na akatokea kuvutiwa na kazi yangu.
Jamaa alinipa maelekezo kuwa nipeleke CV yangu ofisi fulani nimkabidhi secretary anaeitwa Jane.

Nilifika mpaka ofisini na kukutana na huyo Bi. Jane. Introduction kwanza anamfokea mtu wa usafi ambae ni mama wa makamo, alikuwa anatoa maneno ya kejeli kama vile ni katoto kadogo anakakaripia.

Kumkabidhi bahasha ya yangu sasa, kwanza aliniangalia juu mpaka chini halafu kejeli zikahamia kwangu. Bila hata kutaka maelezo alianza nyodo kuwa hakuna kazi hivyo nisiweke matumaini yangu juu. Nikaona isiwe tabu, nilimuachia bahasha nikaondoka zangu.

Baada ya siku 2 jamaa alienielekeza nipeleke CV akanipigia kuuliza mbona sikupeleka. Nikamwambia kilichotokea.
Jamaa akaniambia J3 yake niamkie hapo ofisini.

Kufika Jumatatu niliwahi kidogo, nikapokelewa na Jane, kama kawaida akaanza kutaranya kuwa alishaniambia hakuna kazi. Mimi sikumsemesha nikakaa tu hapo reception. Ile kidogo ilimtisha maana alinywea na kuanza kujiongelesha kiupole.

Baada ya muda jamaa akaingia, Jane kainuka kwa heshima na kumsalimia jamaa na neno Boss baada ya kila sentence.
Swali la kwanza Boss akauliza kama kuna bahasha yake yeyote ililetwa na mimi wiki iliyopita, Jane akaanza kujiuma uma bila ya jibu la msingi.

Kufanya story kuwa fupi, ni kwamba nilianza kazi hapo na alikuwa ana report kwangu. Kutokana na malalamiko ya wafanyakazi wengi pamoja na wageni juu ya tabia za Jane, ilibidi tu afungashe virago maisha yaendelee.
Inasikitisha sana
 
Miaka kadhaa nyuma nilimfanyia mtu kazi yake, freelancing na akatokea kuvutiwa na kazi yangu.
Jamaa alinipa maelekezo kuwa nipeleke CV yangu ofisi fulani nimkabidhi secretary anaeitwa Jane.

Nilifika mpaka ofisini na kukutana na huyo Bi. Jane. Introduction kwanza anamfokea mtu wa usafi ambae ni mama wa makamo, alikuwa anatoa maneno ya kejeli kama vile ni katoto kadogo anakakaripia.

Kumkabidhi bahasha ya yangu sasa, kwanza aliniangalia juu mpaka chini halafu kejeli zikahamia kwangu. Bila hata kutaka maelezo alianza nyodo kuwa hakuna kazi hivyo nisiweke matumaini yangu juu. Nikaona isiwe tabu, nilimuachia bahasha nikaondoka zangu.

Baada ya siku 2 jamaa alienielekeza nipeleke CV akanipigia kuuliza mbona sikupeleka. Nikamwambia kilichotokea.
Jamaa akaniambia J3 yake niamkie hapo ofisini.

Kufika Jumatatu niliwahi kidogo, nikapokelewa na Jane, kama kawaida akaanza kutaranya kuwa alishaniambia hakuna kazi. Mimi sikumsemesha nikakaa tu hapo reception. Ile kidogo ilimtisha maana alinywea na kuanza kujiongelesha kiupole.

Baada ya muda jamaa akaingia, Jane kainuka kwa heshima na kumsalimia jamaa na neno Boss baada ya kila sentence.
Swali la kwanza Boss akauliza kama kuna bahasha yake yeyote ililetwa na mimi wiki iliyopita, Jane akaanza kujiuma uma bila ya jibu la msingi.

Kufanya story kuwa fupi, ni kwamba nilianza kazi hapo na alikuwa ana report kwangu. Kutokana na malalamiko ya wafanyakazi wengi pamoja na wageni juu ya tabia za Jane, ilibidi tu afungashe virago maisha yaendelee.
Basi mkuu una hekima sana aisee
Mimi siwezi ningemtusi
 
Basi mkuu una hekima sana aisee
Mimi siwezi ningemtusi
Kwa jinsi nilivyoona anamkaripia yule mama, nilijua moja kwa moja ni mtu wa aina gani. Nilitaka sana nimjibu ovyo lakini nashukuru Mungu nilipata busara ya kuondoka tu.

Wanawake mara nyingi wanapokuwa katika nafasi za madaraka kidogo tu basi uhisi kila alie chini yao ni takataka.

Mfano mzuri linganisha ukikamatwa na trafffic wa kiume na ukikamatwa na wa kike. Wakike wanakuwa visirani mno, hii huenda mbali katika kila sehemu zenyewe wanawake. Mabenki, maofisini, hospitali. Ni hulka ya kike kuwa na dharau.
 
Kwa jinsi nilivyoona anamkaripia yule mama, nilijua moja kwa moja ni mtu wa aina gani. Nilitaka sana nimjibu ovyo lakini nashukuru Mungu nilipata busara ya kuondoka tu.

Wanawake mara nyingi wanapokuwa katika nafasi za madaraka kidogo tu basi uhisi kila alie chini yao ni takataka.

Mfano mzuri linganisha ukikamatwa na trafffic wa kiume na ukikamatwa na wa kike. Wakike wanakuwa visirani mno, hii huenda mbali katika kila sehemu zenyewe wanawake. Mabenki, maofisini, hospitali. Ni hulka ya kike kuwa na dharau.
Fact kabisa mkuu.
Mimi Naona makosa ya mfumo wa chuo yanaenda kunikwamisha kuendelea na chuo japokuwa Nina haki zote za msingi....hivi naweza kwenda TCU kupeleka malalamiko Yangu?
 
Miaka kadhaa nyuma nilimfanyia mtu kazi yake, freelancing na akatokea kuvutiwa na kazi yangu.
Jamaa alinipa maelekezo kuwa nipeleke CV yangu ofisi fulani nimkabidhi secretary anaeitwa Jane.

Nilifika mpaka ofisini na kukutana na huyo Bi. Jane. Introduction kwanza anamfokea mtu wa usafi ambae ni mama wa makamo, alikuwa anatoa maneno ya kejeli kama vile ni katoto kadogo anakakaripia.

Kumkabidhi bahasha ya yangu sasa, kwanza aliniangalia juu mpaka chini halafu kejeli zikahamia kwangu. Bila hata kutaka maelezo alianza nyodo kuwa hakuna kazi hivyo nisiweke matumaini yangu juu. Nikaona isiwe tabu, nilimuachia bahasha nikaondoka zangu.

Baada ya siku 2 jamaa alienielekeza nipeleke CV akanipigia kuuliza mbona sikupeleka. Nikamwambia kilichotokea.
Jamaa akaniambia J3 yake niamkie hapo ofisini.

Kufika Jumatatu niliwahi kidogo, nikapokelewa na Jane, kama kawaida akaanza kutaranya kuwa alishaniambia hakuna kazi. Mimi sikumsemesha nikakaa tu hapo reception. Ile kidogo ilimtisha maana alinywea na kuanza kujiongelesha kiupole.

Baada ya muda jamaa akaingia, Jane kainuka kwa heshima na kumsalimia jamaa na neno Boss baada ya kila sentence.
Swali la kwanza Boss akauliza kama kuna bahasha yake yeyote ililetwa na mimi wiki iliyopita, Jane akaanza kujiuma uma bila ya jibu la msingi.

Kufanya story kuwa fupi, ni kwamba nilianza kazi hapo na alikuwa ana report kwangu. Kutokana na malalamiko ya wafanyakazi wengi pamoja na wageni juu ya tabia za Jane, ilibidi tu afungashe virago maisha yaendelee.
Jane alijuta kukutana na wewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom