lup
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 2,514
- 2,740
Nisiwachoshe na utangulizi mrefu.
Naamini humu tupo tuliolelewa na mama wa kambo kwa mazingira tofauti. Watu wengi tumekuwa na mawazo kuwa mama wa kambo huwa anakuwa na malezi ya mateso.hata anapompiga mtoto huwa anatesa,ni kama vile mama mzazi wa mtoto huyo asigempiga mwanae hata siku moja.
Ni kweli nakubaliana kuwa zipo adhabu ambazo huwa zinavuka mipaka..lakini naomba tujadili kwa mitazamo yote ya malezi kutoka kwa mama wa kambo kama yamekuletea faida ya kuishi maisha ya kijitegemea leo ukiwa MTU mzima na unaweza kusema kuwa pamoja na kwamba niliona nateseka lakini leo Yale maisha kumbe yalikuwa ni mazoezi ya kuja kukaa vizuri ukwabwani na kukabiliana na chagamoto bila kulia sana. Au Yale maisha aliyokulea, leo unaweza sema kuwa aliniharibia maisha yangu na nisigekuwa hivi nilivyo..
Naamini humu tupo tuliolelewa na mama wa kambo kwa mazingira tofauti. Watu wengi tumekuwa na mawazo kuwa mama wa kambo huwa anakuwa na malezi ya mateso.hata anapompiga mtoto huwa anatesa,ni kama vile mama mzazi wa mtoto huyo asigempiga mwanae hata siku moja.
Ni kweli nakubaliana kuwa zipo adhabu ambazo huwa zinavuka mipaka..lakini naomba tujadili kwa mitazamo yote ya malezi kutoka kwa mama wa kambo kama yamekuletea faida ya kuishi maisha ya kijitegemea leo ukiwa MTU mzima na unaweza kusema kuwa pamoja na kwamba niliona nateseka lakini leo Yale maisha kumbe yalikuwa ni mazoezi ya kuja kukaa vizuri ukwabwani na kukabiliana na chagamoto bila kulia sana. Au Yale maisha aliyokulea, leo unaweza sema kuwa aliniharibia maisha yangu na nisigekuwa hivi nilivyo..