mimi pia ninajua kuwa mama wa kambo ni mke wa baba,ukambo unaanza pale ambapo baba atamuacha mke wake na kuoa mke mwingine,watoto/mtoto wa baba na mama waliotengana atakuwa sasa anaishi na mama wa kambo,sio mama yake mzazi,au labda mama atafariki na baba kuoa mke mwingine ,kama mama aliyefariki aliacha mtoto/watoto, wale watoto/mtoto watakuwa wanaishi na mama wa kambo.hivyo hivyo pia kwa baba wa kambo.