Nlikua kwenye biashara ya usafirishaji (bodaboda) ila kilichonifelisha sio kodi, wala faini za barabarani, wala usumbufu wa madereva, kilichonifelisha ni service za Mara kwa Mara, yani hesabu ya miezi miwili inaliwa na service ya Siku moja, au kila wiki kitu flani kinaharibika kwenye pikipiki, mpaka inafika mahali mtu usipokiuza chombo cha moto, kinakufilisi hata kama una gereji yako binafsi, wanasema chombo kikitumika mda mrefu baada ya miaka 2 ndo kinaanza kusumbua service, ila kikiwa kipya ndo hakisumbui service, ila najiuliza
Bakhresa food product wana scania nyingi sana za zamani kidogo, INA maana magari yao hayapatagi breakdown za Mara kwa Mara? Magari ya bonite ya kusambazia soda ni ya zamani mno tena wanazo faw, howo, canter, na fuso kama 200 hivi, magari yao hayapati breakdown za Mara kwa Mara?
Kuna jirani hapa nae alinunua fuso anasema haijawahi kumwekea laki 2 ndani kisa service za Mara kwa mara, Mara hiki Mara kile, service zinakuwa nyingi mpaka inafika mahali MTU inabidi uuze gari au pikipiki hata kama ulikuwa huna shida wala mpango wa kuliuza.
Bakhresa food product wana scania nyingi sana za zamani kidogo, INA maana magari yao hayapatagi breakdown za Mara kwa Mara? Magari ya bonite ya kusambazia soda ni ya zamani mno tena wanazo faw, howo, canter, na fuso kama 200 hivi, magari yao hayapati breakdown za Mara kwa Mara?
Kuna jirani hapa nae alinunua fuso anasema haijawahi kumwekea laki 2 ndani kisa service za Mara kwa mara, Mara hiki Mara kile, service zinakuwa nyingi mpaka inafika mahali MTU inabidi uuze gari au pikipiki hata kama ulikuwa huna shida wala mpango wa kuliuza.