Julius Kaisari
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,176
- 675
Waungwana nisaidieni neno hili,nimejaribu kufikiri kuwa yule mtendaji wa PROPAGANDA FIELD ndugu makambale ataficha uso wake wapi siku ile tukufu ya kuanza mapambano ya safisha safisha mapakashume mafisadi,siku ya kumwapisha dr. Silaa?:israel: