fieldmashal
Member
- Nov 22, 2015
- 78
- 3
Jamani wahanga wenzangu continuing students tuliokosa mikopo, kwanza nashukuru kurejea tena kwenye jukwaa hili la elimu baada ya kuzuiliwa kidogo kutumia hili jukwaa, hizi zote ni jitihada zangu za kupigania haki yetu ya msingi, nilishikwa na hasira nikaandika matusi kwa wahusika wa loan board, ndipo uongozi wa jukwaa ukanifungia huduma.
Sasa nimerudi tena fieldmashal ndani ya jukwaa, nitapambana hadi nihakikishe jpm ameyaona na kuyatumbua majipu haya, yanayojiita mafanyakazi ya bodi ya mikopo elimu ya juu, kumbe hakuna yanachokifanya zaidi ya kunyanyasa na kutesa wanafunzi vyuoni.
Nilisikitika siku moja ITV mpuuzi mmoja alipo litangazia taita la Tz kwamba wanafunzi wote vyuo vikuu wamepata mikopo, nilitamani nipasuwe scrini niingie ili tumalizane naye, hivo ilikuwa vigumu sana kesho yake nilipopiga simu kwa mjomba kuomba hela ya chakula hapa chuoni, Kwani mjomba alisema niache usela wakati ITV imetangaza wanafunzi wote wamepata mikopo, niliumia sana, na maneno ya mjomba "usela"
Hivyo nawaomba wahanga wote na wale wote watakaogusha na hili tutengeneze modarity nzuri ili tuweze kupambana nalo, tukumbuke kuwa ipo siku na sisi tutahitajika kusomesha watoto wetu, wakikuta hii hali watasema sisi tulikuwa viraza wa kufikiri kwanini hatukuiona hii halii.?
NB: My pain, your pain, together we can, unity is power.
Let us struggle as intellectuals team work organization.
Sasa nimerudi tena fieldmashal ndani ya jukwaa, nitapambana hadi nihakikishe jpm ameyaona na kuyatumbua majipu haya, yanayojiita mafanyakazi ya bodi ya mikopo elimu ya juu, kumbe hakuna yanachokifanya zaidi ya kunyanyasa na kutesa wanafunzi vyuoni.
Nilisikitika siku moja ITV mpuuzi mmoja alipo litangazia taita la Tz kwamba wanafunzi wote vyuo vikuu wamepata mikopo, nilitamani nipasuwe scrini niingie ili tumalizane naye, hivo ilikuwa vigumu sana kesho yake nilipopiga simu kwa mjomba kuomba hela ya chakula hapa chuoni, Kwani mjomba alisema niache usela wakati ITV imetangaza wanafunzi wote wamepata mikopo, niliumia sana, na maneno ya mjomba "usela"
Hivyo nawaomba wahanga wote na wale wote watakaogusha na hili tutengeneze modarity nzuri ili tuweze kupambana nalo, tukumbuke kuwa ipo siku na sisi tutahitajika kusomesha watoto wetu, wakikuta hii hali watasema sisi tulikuwa viraza wa kufikiri kwanini hatukuiona hii halii.?
NB: My pain, your pain, together we can, unity is power.
Let us struggle as intellectuals team work organization.