my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Madaktari, pharmacists na hawa watu wa laboratories wa Tanzania huwa wanasomea nini chuoni? Ikitokea magonjwa ya ajabu au ya kulipuka hata hawasikiki utadhani haiwahusu wao vile.
Wanasubiria nchi za ulaya wahangaike walete dawa wao kazi yao kuandika dose tu kwa wagonjwa. Hawajawahi kugundua dawa yoyote wapo wapo tu. Wao wanajua kutoa mimba tu kuua viumbe visivokuwa na hatia ikija kitu serious wanakaa kimya kama hawapo.
Na watu wa laboratories kazi yao kupima mkojo tu na damu hawana jingine wanajua.
Hebu tumieni elimu mliopata hata kidogo ili tujue kweli mlisomea. Sio Ku kremisha dalili za magonjwa na dawa zake na kuandika lisiti tu.
Wanasubiria nchi za ulaya wahangaike walete dawa wao kazi yao kuandika dose tu kwa wagonjwa. Hawajawahi kugundua dawa yoyote wapo wapo tu. Wao wanajua kutoa mimba tu kuua viumbe visivokuwa na hatia ikija kitu serious wanakaa kimya kama hawapo.
Na watu wa laboratories kazi yao kupima mkojo tu na damu hawana jingine wanajua.
Hebu tumieni elimu mliopata hata kidogo ili tujue kweli mlisomea. Sio Ku kremisha dalili za magonjwa na dawa zake na kuandika lisiti tu.