Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,409
- 8,811
Manyumbu yalishangilia kifo cha Jpm sasa yanahaha.
Shida nini mbona hasira ?Nani anataka kura ya mashoga ya ccm.
Umenikumbusha mbali Sana enzi hizoUna uhakika haujalewa wanzuki?Hebu tikisa huo mbichwa wako!
Bila shaka sasa maisha kwa watz yapo vizuri sana!
Hamna kero kabisa,
Maana si kawaida kwa huyu jamaa kuwa kimya namna hii!
CCM oyeeeee!!!Maisha yapo muruwa kabisa kwasababu
Watu hawatekwi tena
Hawauliwi
Hakuna kubambikiziana case kishamba
Hakuna kufokeana hovyo
Kuna uhuru wa Habari
Watu ni wamoja na hawagawanywi kwa makabila wala vyama isipokuwa nyie wachachache
Mungu alitutendea wema sana
Wapi.mkuu?Inyonga,Kipalapala,Barabara ya Sikonge,Ipuli,Tosamaganga,Igalula,Chabutwa,Manoleo,Ilula,Tosamaganga,Mibikimitali,Suruti au wapi mkuu?Umenikumbusha mbali Sana enzi hizo
Wapi.mkuu?Inyonga,Kipalapala,Barabara ya Sikonge,Ipuli,Tosamaganga,Igalula,Chabutwa,Manoleo,Ilula,Tosamaganga,Mibikimitali,Suruti au wapi mkuu?
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]Maisha yapo muruwa kabisa kwasababu
Watu hawatekwi tena
Hawauliwi
Hakuna kubambikiziana case kishamba
Hakuna kufokeana hovyo
Kuna uhuru wa Habari
Watu ni wamoja na hawagawanywi kwa makabila wala vyama isipokuwa nyie wachachache
Mungu alitutendea wema sana