Hivi lini tutaanza kuwa serious?

Hivi lini tutaanza kuwa serious?

Sam Seaborn

Member
Joined
Aug 20, 2011
Posts
98
Reaction score
39
Sina haja ya kusema mengi lakini this picture speaks alot about our political class na priorities zetu

Admin/mod naomba uiache hapa ili mjadala unoge zaidi.

sk1.jpg
 
mkuu siku tutakapokuwa na watu kama wewe mambo yatanyooka-uerevu wako uko juu sana kwa mstakabari wa nch yetu-kwa picha hii hatupo serious
 
watu wamependeza alafu unasema hawako serious?
 
Mkuu userious unaouzungumzia hapa ni upi? Hebu ningámulie kidogo
 
Mimi nafikuri wewe ndio auko serious. If you are otherwise, Funguka!
 
Ikulu ni mahala ....................JK
Sina haja ya kusema mengi lakini this picture speaks alot about our political class na priorities zetu

Admin/mod naomba uiache hapa ili mjadala unoge zaidi.
 
Back
Top Bottom