Hivi kweli mapenzi ya dhati yapo

Hivi kweli mapenzi ya dhati yapo

Jaman nimeumizwa mpaka nimepata ugonjwa wa moyo. Kiac cha kwamba kila mwanaume anayenitaka naona taabu kufungua moyo wangu kwake. Nimewah kuwa na marafiki wawili wa kiume mpaka umri huu wa miaka 31. Nifanyeje jaman nataman kupata watoto ila nikikumbuka maumivu nlyopata nakosa ujasiri. Nishaurini mwenzenu.
Ukitaka kujitibu na tatizo la moyo wako tumia tunda liitwalo "Kiwi" au tumia strawberry mara kwa mara !! utapa ufumbuzi baaden.....!
 
Jaman nimeumizwa mpaka nimepata ugonjwa wa moyo. Kiac cha kwamba kila mwanaume anayenitaka naona taabu kufungua moyo wangu kwake. Nimewah kuwa na marafiki wawili wa kiume mpaka umri huu wa miaka 31. Nifanyeje jaman nataman kupata watoto ila nikikumbuka maumivu nlyopata nakosa ujasiri. Nishaurini mwenzenu.

tafuta wa geresha uzaenaye mtoto ili usiumizwe tena
 
Mapenzi ya dhati yapo usikate tamaa, omba mungu akupe anayekupenda na ambae ni sahihi kwako am sure utaenjoy. Pole kwa kutendwa siku zote mapenzi ndivo yalivo
Kuna watu wapo ili wawe daraja kwako kumfikia aliye sahihi
Relax, take time and fall in love again when ur ready, don fall ukiwa desperate coz u gonna make a wrong choice.
 
Mapenzi ya dhati yapo usikate tamaa, omba mungu akupe anayekupenda na ambae ni sahihi kwako am sure utaenjoy. Pole kwa kutendwa siku zote mapenzi ndivo yalivo
Kuna watu wapo ili wawe daraja kwako kumfikia aliye sahihi
Relax, take time and fall in love again when ur ready, don fall ukiwa desperate coz u gonna make a wrong choice.

Asante kwa ushauri wako.
 
Asante. Ila c kosa langu kufikia hapa kwan ni mwaka wa tatu toka niachane second lover wangu. Nataman mtoto ila naogopa kuruhusu mahusiano tena.

Ninachokiamini mimi ni kwamba jinsi unavyokua na watu wengi toka yule mchumba wako wa kwanza ndio unakua na probability ndogo ya kupata akupendae kwa dhati..so move into z new rltnshp with lots of cautions.
 
Mapenzi ya dhati ndiyo yapi?
Anyway kwa jinsi ulivyojieleza hapo juu usipoufungua moyo wako na kulegeza akili yako itakucost sana maishani.
 
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom