Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,875
Kweli 'beauty is but skin deep'!! Maneno haya yanatoka kinywani/rohoni mwako!! Pole kama uliwahi kutendwa,but i aint impressed.
Nobody cares anyway.........IOLO........
Kweli 'beauty is but skin deep'!! Maneno haya yanatoka kinywani/rohoni mwako!! Pole kama uliwahi kutendwa,but i aint impressed.
Ukitaka kujitibu na tatizo la moyo wako tumia tunda liitwalo "Kiwi" au tumia strawberry mara kwa mara !! utapa ufumbuzi baaden.....!Jaman nimeumizwa mpaka nimepata ugonjwa wa moyo. Kiac cha kwamba kila mwanaume anayenitaka naona taabu kufungua moyo wangu kwake. Nimewah kuwa na marafiki wawili wa kiume mpaka umri huu wa miaka 31. Nifanyeje jaman nataman kupata watoto ila nikikumbuka maumivu nlyopata nakosa ujasiri. Nishaurini mwenzenu.
Jaman nimeumizwa mpaka nimepata ugonjwa wa moyo. Kiac cha kwamba kila mwanaume anayenitaka naona taabu kufungua moyo wangu kwake. Nimewah kuwa na marafiki wawili wa kiume mpaka umri huu wa miaka 31. Nifanyeje jaman nataman kupata watoto ila nikikumbuka maumivu nlyopata nakosa ujasiri. Nishaurini mwenzenu.
Umri nao tatzo.
Mapenzi ya dhati yapo usikate tamaa, omba mungu akupe anayekupenda na ambae ni sahihi kwako am sure utaenjoy. Pole kwa kutendwa siku zote mapenzi ndivo yalivo
Kuna watu wapo ili wawe daraja kwako kumfikia aliye sahihi
Relax, take time and fall in love again when ur ready, don fall ukiwa desperate coz u gonna make a wrong choice.
Asante. Ila c kosa langu kufikia hapa kwan ni mwaka wa tatu toka niachane second lover wangu. Nataman mtoto ila naogopa kuruhusu mahusiano tena.