Jaman nimeumizwa mpaka nimepata ugonjwa wa moyo. Kiac cha kwamba kila mwanaume anayenitaka naona taabu kufungua moyo wangu kwake. Nimewah kuwa na marafiki wawili wa kiume mpaka umri huu wa miaka 31. Nifanyeje jaman nataman kupata watoto ila nikikumbuka maumivu nlyopata nakosa ujasiri. Nishaurini mwenzenu.