Kadri siku siku zinavyokwenda na hasa mwezi huu mtukufu naona viongozi wetu wanakazana sana kujumuisha watu kwa ajili ya vyakula...na hata kufungua tawi naona wanasisitiza chakula na vinywaji ni bure....je ni kweli chakula kimekuwa kitu cha kutangaza sana kwani tukitoa kinya kimya kuna tatizo gani wakati ndio utamaduniw wetu watanzania kupeana chakula kama kipo. Hivi tunashindwa kufanya majukumu muhimu tukaacha kutumia v2 simple kaa vyakula kama ndio incentives au ushafishi wetu tuonekane tunajali wananchi ni wazo tuu.